1.Kuwe na majimbo,na viongoz wa majimbo wahakikishe kila mwisho wa mwaka tunakutana wanachitchat wote...
2.Pia mwenyekit aweke orodha ya wanawake walio single pamoja na wanaume ili kuepuka kung'oaana meno na kucha.
3.Katiba ishinikize couples kupeana no za sil ili waweze kuona nin kinaendelea kwenye PM hii itaboreshe hati miliki.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Huu ndio mwanzo halafu kale kaela hakakutosha
halafu wewe!!!
Kunta kinte kinta kunte hebu nenda kalime
yaani unavyowaza ndivyo vp nikuweke kwenye kamati gani ? Wewe ni mtu muhimu sana.
job true true!
1.Kuwe na majimbo,na viongoz wa majimbo wahakikishe kila mwisho wa mwaka tunakutana wanachitchat wote...
2.Pia mwenyekit aweke orodha ya wanawake walio single pamoja na wanaume ili kuepuka kung'oaana meno na kucha.
3.Katiba ishinikize couples kupeana no za sil ili waweze kuona nin kinaendelea kwenye PM hii itaboreshe hati miliki.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums