wadau katika hii katiba mpya naona ni vyema iwapo ibara za 108(2) na 109(1)(8)(9)(10)(11)zikasawazishwa, kana kwamba, raisi asiwe wa kuchagua principle judges wala commitee ya majaji.....either wizara ya sheria ndo iteuwe tena kwa kuangalia vigezo na uwezo wa huyo mtu kuwa judge.....si mtu anatoka kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo na kupelekwa mahakama kuu na mahakama za rufaa.....