share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Upuuzi. Uchafuzi mkuu ndiyo ridhaa?Wananchi kwa asilimia zaidi ya 90 waliipa CCM ushindi wa kishindo ili itekeleze ilani iliyonadiwa.
CCM haikuahidi katiba mpya CCM haiwajibiki kuleta katiba mpya.
Hakuna mwananchi mnyonge anayehitaji the so called katiba mpya(mabadiliko ya maandishi)
People need dough in their pockets not constituional booklets!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA