Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

Attachments

  • images (77).jpeg
    images (77).jpeg
    72 KB · Views: 28
  • images (76).jpeg
    images (76).jpeg
    39.6 KB · Views: 29
Sato hana mpinzani Kwa upande wangu,

Samaki wa maji chumvi hasa baharini siwaelewagi
Umekulia wap wewe? Kwa SISI TULIO kujaga dar es salaam Tanzania ukubwani nikimaanisha university ndio ilituleta dar.

First time dagaa, samakii maji chumbii na maji ya dar es salaam yalinishindaga now Nina miongo kadhaa hapa dar hivyo nime adapt ila mwanzo nilisumbukaga sanaa now nakula mpaka uduviiii
 
Umekulia wap wewe? Kwa SISI TULIO kujaga dar es salaam Tanzania ukubwani nikimaanisha university ndio ilituleta dar.

First time dagaa, samakii maji chumbii na maji ya dar es salaam yalinishindaga now Nina miongo kadhaa hapa dar hivyo nime adapt ila mwanzo nilisumbukaga sanaa now nakula mpaka uduviiii
Nimekulia huko Old Moshi kidia,

Dar nilikuja kutafuta pesa 😂 chuo kikanikuta njian huko,

Dagaa nyumbn tulikuwa tunakula mara chache sana ambao ni dagaa wa nyama au zenji,

Maji hayakunipa shida kwa sababu maji ya Arusha Yana magadi, yalinikomaza,

Ila siogoei maji ya chumvi aseeh
 
Nimekulia huko Old Moshi kidia,

Dar nilikuja kutafuta pesa 😂 chuo kikanikuta njian huko,

Dagaa nyumbn tulikuwa tunakula mara chache sana ambao ni dagaa wa nyama au zenji,

Maji hayakunipa shida kwa sababu maji ya Arusha Yana magadi, yalinikomaza,

Ila siogoei maji ya chumvi aseeh
Maji ya dar yana lotion 🧴 yaani wadada wakija mjini lazima wanone wapendeze

Maji ya DAR ES SALAMA YANA LOTION 😊😊😊
 
Back
Top Bottom