Inategemea umekulia wapi!Mzanzibar hao sato,sangara hawaelewi!Wasalamu.Tumsifu Yesu Kristo.Wapo samaki wa maji moto yani Bahari na hawa maji baridi yani ziwani.
Ila kwa leo naomba kujua Kati ya Sangara,Sato na vibua na kambale ni kundi gani ni watamu zaidi?
Mi wote natwanga isipokuwa kambale!Inategemea namlaji ila kwangu Samaki huwa hawanivutii
Umekulia wap wewe? Kwa SISI TULIO kujaga dar es salaam Tanzania ukubwani nikimaanisha university ndio ilituleta dar.Sato hana mpinzani Kwa upande wangu,
Samaki wa maji chumvi hasa baharini siwaelewagi
Nimekulia huko Old Moshi kidia,Umekulia wap wewe? Kwa SISI TULIO kujaga dar es salaam Tanzania ukubwani nikimaanisha university ndio ilituleta dar.
First time dagaa, samakii maji chumbii na maji ya dar es salaam yalinishindaga now Nina miongo kadhaa hapa dar hivyo nime adapt ila mwanzo nilisumbukaga sanaa now nakula mpaka uduviiii
Maji ya dar yana lotion 🧴 yaani wadada wakija mjini lazima wanone wapendezeNimekulia huko Old Moshi kidia,
Dar nilikuja kutafuta pesa 😂 chuo kikanikuta njian huko,
Dagaa nyumbn tulikuwa tunakula mara chache sana ambao ni dagaa wa nyama au zenji,
Maji hayakunipa shida kwa sababu maji ya Arusha Yana magadi, yalinikomaza,
Ila siogoei maji ya chumvi aseeh
Hahahaha wote ke na me wanatakata,,Maji ya dar yana lotion 🧴 yaani wadada wakija mjini lazima wanone wapendeze
Maji ya DAR ES SALAMA YANA LOTION 😊😊😊