Hawa matajiri nani kamzidi mwenzake?
Kuna ubishi unaendelea mahali,lakini naona kama Bakhresa kamzidi Mo kila kitu.
Mkuu hapo mahali ni kwenye kijiwe cha kahawa au?Hawa matajiri nani kamzidi mwenzake?
Kuna ubishi unaendelea mahali,lakini naona kama Bakhresa kamzidi Mo kila kitu.
Rejea tafiti zinazofanywa.. Huwezi kumfananisha K Lyn na Mo.. Mo tajiri zaidi ya SSBUsimfananishe bakhresa na vitu vya kijinga. Mke wa mengi tu klynn anamzidi mo dewji mbali sana
MO anauza sura tuu katika media.Bakhresa ana viwanda msumbiji malawi burundi rwanda uganda na soon kenya!Mo ni ma goodown yetu na mashamba aliyobinafsishiwa na serikali.Mo hana meli hana timu hana uwanja wa michezo hana media.Magari ya Mo mabovu njia nzima utakutana nayo yameharibika, wakati Bakhresa ana volvo benz zilizosimama!Bagamoyo sugar inakuja muda sii mrefu.Mo ana daiwa na benki zote wakati Bakhresa hana deni la ndaniHawa matajiri nani kamzidi mwenzake?
Kuna ubishi unaendelea mahali,lakini naona kama Bakhresa kamzidi Mo kila kitu.
Kitambo SanaBakhresa Kadiversify Economy Sana,yaani Nachukulia Mfano Hapa Kwangu Kila Siku Lazima Nitumie Product Yake,
Ukisikia uchawi ndio huu... Sio bure kwa huo ujasiri hata gunia la misumari unajitwisha kichwani.Usimfananishe bakhresa na vitu vya kijinga. Mke wa mengi tu klynn anamzidi mo dewji mbali sana
Lakini hebu angalia list ya matajiri Tanzania!sijui watafiti wanatumia vigezo gani,au labda kwa vile azam ni kama group halafu Mo anasimama kama yeyeMO anauza sura tuu katika media.Bakhresa ana viwanda msumbiji malawi burundi rwanda uganda na soon kenya!Mo ni ma goodown yetu na mashamba aliyobinafsishiwa na serikali.Mo hana meli hana timu hana uwanja wa michezo hana media.Magari ya Mo mabovu njia nzima utakutana nayo yameharibika, wakati Bakhresa ana volvo benz zilizosimama!Bagamoyo sugar inakuja muda sii mrefu.Mo ana daiwa na benki zote wakati Bakhresa hana deni la ndani
Poa poa mkuu.Ndiyo!
Mo ni kijana anayependa sifa na promo,hizo article za forbes zinanunuliwa.ingawa ni tajiri sana lakini anaongoza kwa kuwa na bidhaa zenye ubora hafifu.Tafiti zinaonyesha Mo tajiri lakini mbona SSB ndo kama anavuma amewekeza sana au matangazo yamezidi
How sure kuwa baghresa hadaiwi !??MO anauza sura tuu katika media.Bakhresa ana viwanda msumbiji malawi burundi rwanda uganda na soon kenya!Mo ni ma goodown yetu na mashamba aliyobinafsishiwa na serikali.Mo hana meli hana timu hana uwanja wa michezo hana media.Magari ya Mo mabovu njia nzima utakutana nayo yameharibika, wakati Bakhresa ana volvo benz zilizosimama!Bagamoyo sugar inakuja muda sii mrefu.Mo ana daiwa na benki zote wakati Bakhresa hana deni la ndani