Katazo lenye walakini mkubwa

Katazo lenye walakini mkubwa

Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Kiukweli kuna baadhi ya mambo wanakosea,, ila binafsi nazipenda sana sheria za Talban huwezi kuona mambo yakijinga kama Nchi nyingine...
 
Koran ndio inatoa miongozo yote Afghanistan.
Kabla ya nguo kuvaliwa ama kugunduliwa so walikuwa hawatembei nyonyo nje nje ama wao dunia yao imeumbwa ngozi zipo za kujifunika.
We are exaggerating things kwa mgongo wa dini mkuu. Hizi si Ni weakness za mwanaume lakini. Akivaa kimini mie nisimuangalie kwani Kuna shida gani
 
Koran ndio inatoa miongozo yote Afghanistan.
Siku 475 tangu #Taliban KUPIGA MARUFUKU wasichana kwenda shuleni na siku 18 tangu Taliban KUWAPIGA MARUFUKU wanawake kwenda chuo kikuu.

Wanawake wa #Afghanistan wamepoteza kila kitu. Huu ni ubaguzi wa kijinsia. Wazi na rahisi. Ni lazima tuseme.
20230109_223347.jpg
 
Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Unajua najaribu kujiuliza haya makatazo ya Taliban kwa jinsia ya kike nchini Afghanistan yanafuata haki na maendeleo ya wanawake kiujumla au ndio yale yale ya mwanamke ni chombo Cha starehe tu?!
Naimani itafikia kipindi dunia nzima italaumu kwanini USA aliamua kuondoka Afganistan na kuwaachia utawala hawa jamaa.
Mambo haya yananikumbusha na kunifanya nielewe kwanini wakati US anawatoa raia wake, wananchi wengi wa Afghanistan walizamia kwenye ndege
 
Msiwalaumu Taliban. Wanaofuata muongozo wa kitabu kilichoshushwa na kupokelewa na mtu ambaye hakusoma. Hivyo tafsiri ya mambo mbalimbali kwa kuwa hakusoma alitafsiri kulingana na upeo wake. Imekuwa hivyo hivyo kwa wafuasi wake elimu sio vipaumbele vyao. KAMA ALIVYO MWALIMU NDIVYO ALIVYO NA MWANAFUNZI
 
T
Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Taliban ndio nchi sahihi kuishi na kuwa mume wa wake wanne
 
Hao watu walivyovaa aisee,hayo si ni mateso.

Ila safi waache wafuate miongozo yao,vitabu vyao vinasema hivyo,acha iwe hivyo hivyo tu,na waislamu wa bongo nao waige hivyo
Vitabu gani vinasema hivyo?
Lete evidence hapa.
 
Msiwalaumu Taliban. Wanaofuata muongozo wa kitabu kilichoshushwa na kupokelewa na mtu ambaye hakusoma. Hivyo tafsiri ya mambo mbalimbali kwa kuwa hakusoma alitafsiri kulingana na upeo wake. Imekuwa hivyo hivyo kwa wafuasi wake elimu sio vipaumbele vyao. KAMA ALIVYO MWALIMU NDIVYO ALIVYO NA MWANAFUNZI
Ficha ujinga wako.
 
These guys are idiot (not the religion) ,elimu yao haiwasaidii hata kuwaza vitu vya kawaida. Labda kama wanawake kwao ni kama sisimizi ambayo unaweza kukanyaga bila kujua unaendelea na safari
HAWA LABDA WAMEJAMBWA, HAWANA MAMA PENGINE.SHETANI ANAEWATUMIA NAONA HUWABAKA KWANZA AKILI ZAO ZIMEWAHAMA KABISA.
 
Back
Top Bottom