Katazo lenye walakini mkubwa

Katazo lenye walakini mkubwa

Hawa Wataleban ni watu wa hoyo sana
 
Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Wanzetu hawatumiagi akili na makatazo yao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Maduka ya nguo za wanawake huko Kabul, Afghanistan yanafunika nyuso za nguo za kike. Maduka yanafunika vichwa vya mannequin na mifuko ya plastiki, magunia ya nguo na vifaa vingine
20230120_195209.jpg
20230120_195205.jpg
 
Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!

Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!View attachment 2475211
Hii dunia mwarabu ndio angekuwa na nguvu, Vita ingekuwepo kila kona hapakalikiiii
 
Back
Top Bottom