Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,947
- 845,968
Taliban watoa uamuzi mpya katika jimbo la Balkh, Afghanistan, wakisema kuwa wanawake hawaruhusiwi kuwatembelea madaktari wa kiume !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!
Kumbuka kwamba hakuna elimu kwa wanawake pia kutokana na Taliban kukataa wanawake wasisome, kwa hivyo hakuna madaktari wa kike pia !!