Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 1,924
- 3,247
duh!! na nyege zikishalipanda dume lolote iwe la binadam au mnyama, timbwili lake ni la hataree!! mfano; dume la ng'ombe lazma zizi livunjwe na mnalikuta mtaa wa nne kwenye zizi la majike, ndo utashangaa limejuaje njia na limefikaje huko?Mnaweza kulala chumba kimoja lakini vitanda tofauti.
Hizi room ndio zinaitwa double na mnaokowa gharama, kuchukuwa double si sawa na gharama ya vyumba viwili.
Kulala kitsnda kimoja wanaume ni umadkini tu lakini siyo powa kabisa.
Jitu lingine limezoea kulala na mwanamke usishangae usiku bila yeye kukusudia likakukumbati likadhani yupo na demu.
Na kwa watoto ni hatari ukipata mgeni nyumbani usimlaze na mtoto wako wa kiume ni bora umchukulie chumba gesti ya jirani maana kuna watoto wameanzishwa ushoga kwa style hii ya kulazwa kitanda kimoja na dume lililobarehe.