Katavi ndani ya Mtwara....!!

Napita nkijoki naelekea Nsasani,bhaaa bwana wewe nke wa ntu sumu. Sijui umepanda HAMANJU,CENTRAL LINE,MANING NICE hiyo inakwenda hadi MSUMBIJI.
Kuna MACHINGA, BUTI, ROYAL, SETH pia, ila nilikuja na ungo wa wazungu..... Ntwara raha asikwambie ntu.
 
poa shost! nilizan miss komba aka madovena! anasoma au? vile vigimbi vyake mmh!

Anasoma shost!!
Hebu pata picha,katufundisha Form One na nilivyokutana nae ile juzi yupo vilevile hajazeeka wala nini.
Basi nilivyomuona nikajibaraguza kumsalimia.
Afu c unajua me na yeye tulikuwa na bifu tangu nasoma!
Basi nikamsalimie afu me Nshaaa..!!!
Akabaki katoa macho kama anatunga uzi gizani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…