Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,504
- 78,746
Kuna fukuto la chini chini na joto kali ,Kiasi alizuiwa kwa muda kutoka Kinshasa, lkn sasa yuko kolweziWakuu naskia Kongo DR imekuwa ya moto kwa Kabila, familia yake haijulikani ilipo huku yeye akijificha eneo la Katanga. Kuna ukweli wowote kuhusu taarifa hii?
Siasa Congo imekua tamu,hahahaha
Sasa ndio muda wa CHESS kuchezeka RDC ,stayed tune