KATANGA: Je, ni tamaa ya hazina dhidi ya Uzalendo?

Siasa ni game ,na game aliyocheza Felix ni ile ya unafiki wa wanasiasa,katika kutaka madaraka
Hivyo alipotangaza kuwa atavunja bunge na kuondoa baadhi ya huduna muhimu kwa wabunge , wakaamua kujirudi

Lakini Felix Mara nyingi amekua akillalamika ktk.hotuba zake kwa nchi kuwa FCC na wabunge wanamkwamisha, atatumia mamlaka ya katiba kufanya vile inafaa, kuvunja bunge,kubadili watendaji wakuu ,hii ilimjenga sana

Katika majimbo 26 ni jimbo moja tu la Tanganyika anaongoza gavana Zoe Kabila ,hakupiga kura ya kukubali Felix atumie mamlaka ya katiba

Na kikubwa ni nguvu ya uchaguzi 2023,wacongo wanasema JKK ako amekaa miaka 18 ,basi Felix amalize mihura yote

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Shukrani mkuu kwa hii elimu adimu ila ningeomba niulize final questions;

Hatma ya Kina Katumbi na Bemba kwenye hii serikali ni ipi? Na kete zao kuelekea 2023 ni zipi?

Vipi kuhusu Fayulu ndio amekwenda na maji au muungano wake bado upo imara?

Kuna probability ya coup kutoka kwa kabila kma akizidiwa?

Natanguliza shukrani
 
Shukrani mkuu kwa hii elimu adimu ila ningeomba niulize final questions;

Hatma ya Kina Katumbi na Bemba kwenye hii serikali ni ipi? Na kete zao kuelekea 2023 ni zipi?

Vipi kuhusu Fayulu ndio amekwenda na maji au muungano wake bado upo imara?

Kuna probability ya coup kutoka kwa kabila kma akizidiwa?

Natanguliza shukrani
Swali zuri Mkuu, najibu vile naweza, kwanza Katumbi na Bemba wao hawana tatizo na Felix ,wao hawamtaki JKK ,hivyo kinachotazamwa ni kwa namna gani wataondoa ushawishi wa kabila kwa wacongo hasa Katanga kuelekea 2023

Lakini pia wanatazama namna ambavyo ni kiasi gani watamdhibiti JKK na watu wake wakiwa pale Katanga, ikumbukwe uwepo wa JKK Katanga unawapa wasi wasi mkubwa mno watu wanaomsapoti Felix

Sasa Katumbi na Bemba kwa ushawishi wao ndio wakajiunga na Felix, mwanzo ilisemekana kwamba ,Kati ya Moise na Bemba wangeteuliwa uwaziri mkuu baada ya Pm Ilunkamba kuondolewa ( hili linasubiriwa) kama itakua hivyo

Fayulu yyy kaamua kuwatosa na kuwaita wahuni akina Bemba,Moise na Felix kuwa huo muungano wao ni wa chuki na kutaka kuwahadaa wa Congo ,ili wabaki madarakani

Sasa wapo wanaosema kuwa JKK na FCC wataungana na Fayulu ( ambaye inaaminika ndio alishinda ) kuunda umoja mpya kuwakabili Union Scree de national wa akina Bemba


NB: kumekua na matukio yasiohashiria aman baadhi ya maeneo
 
Kwa siasa za Congo kila kitu kinawezekana, ikiwa Lambert Mende wakuungana na Felix ?
Nlichogundua Fatshi alikua underrated sana ila ni makini kuliko tulivyodhani.

Yaani hyo 360 manoeuvre aliyocheza hata Kabila kapigwa na butwaa.

Nasubiri kuona next move ya kabila..... Hvi Hawezi rudi kwa ally wake, Bwana kagame ''waliamshe'' huko mashariki
 
Nlichogundua Fatshi alikua underrated sana ila ni makini kuliko tulivyodhani.

Yaani hyo 360 manoeuvre aliyocheza hata Kabila kapigwa na butwaa.

Nasubiri kuona next move ya kabila..... Hvi Hawezi rudi kwa ally wake, Bwana kagame ''waliamshe'' huko mashariki
Hahahaha, Mkuu Mimi nilijua namna Felix angecheza na JKK na nilikua nasema humu Fatshi yuko sahihi kwa kila jambo analofanya

Kuhusu kurudi kwa Pk na kujipanga upya kurudi Congo, what if km Felix akiamua kula na pk kwa style nyingine?
 
Waziri Mkuu mpya ameteuliwa Leo anaitwa Sama lukonde
FB_IMG_16134054500982884.jpg
 
Yeah, naona pia Moise Katumbi LA twitt kumsifu PM huyu Mpya
Ilisemekana moja ya kigezo ni kuwa na PM asiye na aspirations za Urais 2023!

Tusubiri tuone hali inavyoenda maana miaka 3 ni mingi sana kwenye siasa.

Lakini mpaka leo bado nawaza Hatma ya Vital Kamerrhe ni ipi? Ina maana political career yake ndio imekufa mapema hivi? So sad, nlikua namkubali sana
 
Ilisemekana moja ya kigezo ni kuwa na PM asiye na aspirations za Urais 2023!

Tusubiri tuone hali inavyoenda maana miaka 3 ni mingi sana kwenye siasa.

Lakini mpaka leo bado nawaza Hatma ya Vital Kamerrhe ni ipi? Ina maana political career yake ndio imekufa mapema hivi? So sad, nlikua namkubali sana
Ni nzuri kuwa na PM asiyekua na mawazo ya urais lkn pia ilikua muhimu kuwa na PM atakaye mtii Felix

Vital karmehe anapambana kuna kipindi alikua mgonjwa ,akaomba aende nje kutibiwa wakamkatalia
 
Hahahaha, Mkuu Mimi nilijua namna Felix angecheza na JKK na nilikua nasema humu Fatshi yuko sahihi kwa kila jambo analofanya

Kuhusu kurudi kwa Pk na kujipanga upya kurudi Congo, what if km Felix akiamua kula na pk kwa style nyingine?

Na Felix anakula na PK vizuri sana,hata jana kigali kulikua Top defence bosses kutoka Congo wameenda ku discuss mambo yao.

Kwa ufupi Felix ameweza kumu win PK,Na Felix ni strategist sana na anafanya hivyo ili hata Kabila akiamua kuleta fyoko fyoko ya mambo ya uasi wamdhibiti haraka.

Watu wengi hawaelewi tu,Kabila ametoka madaraka amekorofishana na wakina PK vibaya sana na sasa ni Muda wa PK na Felix kumnyoosha haswa.
 
Na Felix anakula na PK vizuri sana,hata jana kigali kulikua Top defence bosses kutoka Congo wameenda ku discuss mambo yao.

Kwa ufupi Felix ameweza kumu win PK,Na Felix ni strategist sana na anafanya hivyo ili hata Kabila akiamua kuleta fyoko fyoko ya mambo ya uasi wamdhibiti haraka.

Watu wengi hawaelewi tu,Kabila ametoka madaraka amekorofishana na wakina PK vibaya sana na sasa ni Muda wa PK na Felix kumnyoosha haswa.
Yes Juzi kulikua na meeting ya top bosses defense and intelligence hapo Kigali

Felix anajua jinsi ya kucheza na JKK

JKK na partner wake Numbi na timu na wengine kurudi Kinshasa km viongozi ngumu labda waingie chimbo
 
Na Felix anakula na PK vizuri sana,hata jana kigali kulikua Top defence bosses kutoka Congo wameenda ku discuss mambo yao.

Kwa ufupi Felix ameweza kumu win PK,Na Felix ni strategist sana na anafanya hivyo ili hata Kabila akiamua kuleta fyoko fyoko ya mambo ya uasi wamdhibiti haraka.

Watu wengi hawaelewi tu,Kabila ametoka madaraka amekorofishana na wakina PK vibaya sana na sasa ni Muda wa PK na Felix kumnyoosha haswa.
Ukorofi wa maslahi yepi? Fayul anasema mgogoro wa JKK na Felix ni hadaa kwa umma na upinzani. Wanajipanga kwa pamoja.
 
Ni nzuri kuwa na PM asiyekua na mawazo ya urais lkn pia ilikua muhimu kuwa na PM atakaye mtii Felix

Vital karmehe anapambana kuna kipindi alikua mgonjwa ,akaomba aende nje kutibiwa wakamkatalia
Reform inayofanyika kwa sasa ni kuhakikisha Kabila anapoteza ushawishi pamoja na nguvu za kisiasa Congo.

Akina Bemba, Moise na Felix threat kubwa zaidi kwao ni Kabila ili waweze kutawala kwa amani lazima wafanye kila linalowezekana kuhakikisha Kabila anapoteza ushawishi serikali na bungeni probably na Jeshini watahakikisha hana mamluki pia.

Mpaka sasa Felix ameshamwin Kagame na kama itatokea Kabila akaleta chokochoko kutokea huko Katanga atadhibitiwa kwa haraka.

Yawezekana Martin Fayulu akaendelea kuwa na ushawishi lakini akiwa nje ya hao miamba watatu hatafurukuta tena.
 
Back
Top Bottom