Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 54,375
- 101,558
Katambi anajionesha dhahiri shahiri kwamba is a walking dead na CDM kilikuwa ni kichaka cha kuficha ufukara wake wa hali na mali...mtu kama Ben Saanane amepotea wakati Katambi ni Mwenyekiti wa Bavicha.
..nilitegemea Katambi baada kubahatika kuwa Waziri wa Mambo ya ndani atampigania rafiki yake Ben Saanane na wengine.