Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Aaaah nilikuwa sipafahamu hadi ulipotaja jina la msumbiji....Palijulikana kama Msumbiji miaka ya nyuma kabla ya kukarabatiwa
Aaaah nilikuwa sipafahamu hadi ulipotaja jina la msumbiji....Palijulikana kama Msumbiji miaka ya nyuma kabla ya kukarabatiwa
Ha ha ha ha ha hapo kwenye Dr Paulo apaone na BADILI TABIA nzuri mpendwa sikuoni kwenye kwaya
Unauliza Mvi Monduli?Yule POPOMA nasikia anashinda hapo, je ni kweli?
...mawindo ya viboga!Wengine mawindo yetu tunafanyia IGO
Mkuu naww ndio zako?...mawindo ya viboga!
....hahahahahaha..na mimi?..kwahiyo wewe ndio zako mkuu?Mkuu naww ndio zako?
Ndio maana nafikaga huko mkuu....hahahahahaha..na mimi?..kwahiyo wewe ndio zako mkuu?
Unashangaa!! 😀😀Invisible what's wrong hapa, comment yangu inaonekana imeandikwa na Konda wa bodaboda, shida ni nini?
Na kuopoa ndio penyewe, ukikuta tu mke wa mtu hapo mwambie we ni doctor kesho anakuja hadi nyumbani kwako....shkamoo Catalunya
Mbona mi wa hapa hapa na sijawahi kufika,napasikia tu.umekuja mjini lini?
Uongezee na hii,....uata South Africa, Pretoria alikuwa na club Inaitwa Pipers alikuwa na mwenzake anaitwa Kipara,ila naona sasa hivi Kuna Nigerian anairunUkisoma between the lines huyu jamaa kuna story amesikia kuhusu mmiliki wa Bar anatafuta umbea humu!anaitwa Uncle Nditi
Jamaa ni Mpishi mzuri wapopoo walipanda dau akawababua hata hapo Katalunya kuna mtu ataingia King tu kumvua anakula hela anafungua nyingine inahitM
Uongezee na hii,....uata South Africa, Pretoria alikuwa na club Inaitwa Pipers alikuwa na mwenzake anaitwa Kipara,ila naona sasa hivi Kuna Nigerian anairun
Huduma zimelala, hlf no parking.