Katalunya si mchezo!!

Katalunya si mchezo!!

nilikuta inzi kwenye wali nyama hapo katalunya,anyway ni bahati mbaya
 
Aiseee! Mwaka huu itabidi na mimi nijitahidi nije kuiona iyo dasalama maana naisikia sikia tu.
 
  • Thanks
Reactions: me1
Ukisoma between the lines huyu jamaa kuna story amesikia kuhusu mmiliki wa Bar anatafuta umbea humu!anaitwa Uncle Nditi
Umejuaje mkuu!!? unafaa kuwa "mganga" yaani umepita mulemuule!!
 
Oooghhh no no, mi napenda ile Catulanya opposite na kile kijiwe cha zamani, inauzwa wine na spirits tu
 
Mimi naipenda sana hiyo sehemu,tena sanaaaa.
Ni nice place kwakweli,na hasa huwa naenda kucheki mpira pale na chips mbuzi kwa sana.
Tena ngoja kesho niende....
Sema in Shaa Allah ya Mungu mengi
 
Sisi wengine tumekuja mjini juzi maeneo hayo ni nadra kuyafahamu.
 
Evelyn Salt post: 15490512 said:
Invisible what's wrong hapa, comment yangu inaonekana imeandikwa na Konda wa bodaboda, shida ni nini?

Yani wee acha tu, JF nayo ni jipu siku hizi.
 
Back
Top Bottom