Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Ha ha ha atakuja kwako aache na skuna zake chini ya kitandateh teh teh tena ukisema ni daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama ndo kabisaaa!!
Ha ha ha atakuja kwako aache na skuna zake chini ya kitandateh teh teh tena ukisema ni daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama ndo kabisaaa!!
Kwa wale wa asubuhi na supu, chapati 2 humalizi!Chakula kinaendana na bei kwa ubora. Mwenye kutafuta bei rahisi hapamfai
Huyu c aseme tu aalipozwa vizzuri na changu wa hapoumekuja mjini lini?
Usikose taifa leo!Mimi naipenda sana hiyo sehemu,tena sanaaaa.
Ni nice place kwakweli,na hasa huwa naenda kucheki mpira pale na chips mbuzi kwa sana.
Tena ngoja kesho niende....
Ha ha ha! Imeandikwa pia, mpe kilevi mtu aliye katika njia ya kupotea.Imeandikwa tunywe tusahau shida zetu, ila wafalme ndio wasinywe maana watasahau majukumu yao
Mkuu mimi nitaangalia kupitia TV home.Usikose taifa leo!
Wapi imeandikwa hivyo wewe?Imeandikwa tunywe tusahau shida zetu, ila wafalme ndio wasinywe maana watasahau majukumu yao
Dr. Year.teh teh teh tena ukisema ni daktari bingwa wa magonjwa ya kina mama ndo kabisaaa!!
Yule POPOMA nasikia anashinda hapo, je ni kweli?Mimi naipenda sana hiyo sehemu,tena sanaaaa.
Ni nice place kwakweli,na hasa huwa naenda kucheki mpira pale na chips mbuzi kwa sana.
Tena ngoja kesho niende....
Hahahahaa ngoja tumuulize mhusika mkuu.Yule POPOMA nasikia anashinda hapo, je ni kweli?
Vp Dr wako ajambo.. Au na wewe Dr ulimpata paleNa kuopoa ndio penyewe, ukikuta tu mke wa mtu hapo mwambie we ni doctor kesho anakuja hadi nyumbani kwako....shkamoo Catalunya
Dongo.!Vp Dr wako ajambo.. Au na wewe Dr ulimpata pale
Ha ha naomba uendelee kufungwajuzijuzi tu mkuu hata kamba sijafunguliwa mguuni!!