KATABIA HAKA WADADA 2016 MJITAHIDI MKAACHE.... MMESIKIA WAREMBO!!!!

KATABIA HAKA WADADA 2016 MJITAHIDI MKAACHE.... MMESIKIA WAREMBO!!!!

Aaaah wapi!!! Sema nyie wengine mmezidi hamjui kula na kipofu..... We kila siku unataka pesa tuu, kademu ka mizinga, yaani usiione wallet mikojo imekubana unataka pesa!!!
Aigooooo, huwajui wanawake vizuri wewe,??? Rejea samsoni na Delila, Adam na Eva, halafu usichukie ukiombwa hela akamuombe nani km si wewe mpenzi wake???
 
Aigooooo, huwajui wanawake vizuri wewe,??? Rejea samsoni na Delila, Adam na Eva, halafu usichukie ukiombwa hela akamuombe nani km si wewe mpenzi wake???
Kuomba pesa hatukatai lakini isiwe ndo kila siku bhana!! Yaani ukipiga sim hakuna story nyingine zaidi ya pesa we vp?
 
Mbona mnalalamika jamani nyie wanaume? Wapo wanaume wengine sio walalamishi...msije mkawaharibu na hii mada. Mkitupa tuna furahi...tunafeel loved.. yaani hata genye zinaongezeka, kama una sura mbaya nakuona handsome. Say NO to wanaume wabahili
 
Kuhonga ni kazi njema hasa kwa wenye kigugumizi inatusaidia sana, nafikiri tungepunguza tu kiwango maana mzunguko wa hela umebana waliokuwa wanatoa 100,000 sasa iwe 4,000
Mkuu umenifurahisha xn....kutoka kilo hadi buku nne......ila all in all umenena kwel
 
Mbona mnalalamika jamani nyie wanaume? Wapo wanaume wengine sio walalamishi...msije mkawaharibu na hii mada. Mkitupa tuna furahi...tunafeel loved.. yaani hata genye zinaongezeka, kama una sura mbaya nakuona handsome. Say NO to wanaume wabahili
Eeee!!!
 
Napenda kumiliki mwanamke kwa asilimia mia moja. Kwangu kutoa pesa ni jambo la kawaida.
 
Umeona eeee yaani kila muda kwao wanawaza pesa tuu..... Yaani nilie naye kwa mizinga ni balaa sasa nataka nimtafutie kisa ili mimpige chini!!!
usimpige chini ila muelimishe tu kuhusu kujitegemea..maana unaeza kukutana na mpiga mizinga kuliko huyu wa sasa
 
Mbona mnalalamika jamani nyie wanaume? Wapo wanaume wengine sio walalamishi...msije mkawaharibu na hii mada. Mkitupa tuna furahi...tunafeel loved.. yaani hata genye zinaongezeka, kama una sura mbaya nakuona handsome. Say NO to wanaume wabahili
Tatizo mnataka saaana Maden
Alafu from different pepoooo
 
usimpige chini ila muelimishe tu kuhusu kujitegemea..maana unaeza kukutana na mpiga mizinga kuliko huyu wa sasa
Daa!! Ngoja nijaribu maana ni hatareeee!!!!
 
Hapa kazi tu kama kweli kutakua na kidume fala mwaka 2016 kuhusu michepuko pole yake mi simo buku ya kula tu ndoto

Daaaah..!!!mkuu una màana na demu wako anaishije au huna demu..????

Buku tu..???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom