charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,001
hahahah..na mwaka ujao nimejipanga hawataambulia hata hamsini yako...nitakaba kila pahala kama tinga tingaSasa wale side chiks wakinikaba ntaweza kweli kukupeleka paris?
hahahah..na mwaka ujao nimejipanga hawataambulia hata hamsini yako...nitakaba kila pahala kama tinga tingaSasa wale side chiks wakinikaba ntaweza kweli kukupeleka paris?
Nadhani hapa issue ni ile mizinga endless yaani ukimaliza kulipa Kodi unaombwa Ada ya Dogo then Voucher, Supu, Salon duh hadi Mbaba unakosa utulivu financially & mentally
Naona wamelala si linaelwahusu hili.........!!!Wanadada mpo hapo?
Hilo ndo la maana......!!!!hahahah..na mwaka ujao nimejipanga hawataambulia hata hamsini yako...nitakaba kila pahala kama tinga tinga
Mwaka huu wataisoma namba.....Hata uwambieje hawasikii hao....
Ooooh hapo sawa, lkn poleni sana wanaume mmeumbwa mateso na kuhangaika,
Kuna kaka mmoja ni rafiki yangu siku moja alikuwa akinilalamikia kwamba mpenzi wake kila wanapoongea ktk simu hata iwe SAA nane usiku huwa akimwambia ana njaaa hajala, kwakweli poleni
hahahah..na mwaka ujao nimejipanga hawataambulia hata hamsini yako...nitakaba kila pahala kama tinga tinga
Ha ha ha ha hasasa kama unajua hivyo, mizinga ya nini...
au ndio "butter trade " at work , yaani
natoa hela na wewe unanipa papuchi...?
mseme ili tujue moja kuwa butter trade imerudi tena.
Umeona eeee yaani kila muda kwao wanawaza pesa tuu..... Yaani nilie naye kwa mizinga ni balaa sasa nataka nimtafutie kisa ili mimpige chini!!![/QUOTE]Hhahahha asante kwa kunielewa pia kwa kutuonea huruma, imagine saa nane usiku mtu anasema hajala. Ingekuwa Mimi nina mjibu hapa mtaani kwenu Mpesa/Tigo Pesa wamefunga hadi kesho asubuhi.
Bure hakuna, huna pesa mapenzi hakunaEee! Lakini kumbuka mlipewa bure kwanini mnatutoza pesa...... Na nyie toeni bure bhana!! +
Hako kakilio ndo raha yako hiyo, Wanaume walowengi wanapenda wasikie miguno guno ya mpenzi wake, nisipokwambia ingiza yote ikiambatana na kilio utaona km sikupendi Nina madharauAaaa shughuri nzito wapi mdada...... Wakati nikiingiza nusu utasikia, "baby ingiza yote" na kakilio juu afu we unasema nini?
Wa kweli yupojeHayo ni makahaba mwanamke wa kweli hayuko hivyo.
Ooooh hapo sawa, lkn poleni sana wanaume mmeumbwa mateso na kuhangaika,
Kuna kaka mmoja ni rafiki yangu siku moja alikuwa akinilalamikia kwamba mpenzi wake kila wanapoongea ktk simu hata iwe SAA nane usiku huwa akimwambia ana njaaa hajala, kwakweli poleni
Wa kweli anakujali na wala hahitaji pesa nyingi kutoka kwako..... Tena muda mwingine anakupa yy....!!!Wa kweli yupoje
Wapi ww pale raha tunapata wote bhana acha kuzuga!!Hako kakilio ndo raha yako hiyo, Wanaume walowengi wanapenda wasikie miguno guno ya mpenzi wake, nisipokwambia ingiza yote ikiambatana na kilio utaona km sikupendi Nina madharau
Una ushahidi km raha mnapata wote??? Wanawake acha kabisa weweWa kweli anakujali na wala hahitaji pesa nyingi kutoka kwako..... Tena muda mwingine anakupa yy....!!!
Wapi ww pale raha tunapata wote bhana acha kuzuga!!
Ujasiri wakumpa jibu hilo utakuwa huna ushakolezwa utamalizia tu kilobakia kwa simu yako nakukopa utakopa, dada wawatu apate kula[/QUOTE]Hhahahha asante kwa kunielewa pia kwa kutuonea huruma, imagine saa nane usiku mtu anasema hajala. Ingekuwa Mimi nina mjibu hapa mtaani kwenu Mpesa/Tigo Pesa wamefunga hadi kesho asubuhi.
Ushahidi ninao maana nilishawahi kuwa na kademu ka kimbulu yaani kila siku lazima kanatimba gheto afu kanademand nikspige mambo hadi siku nyingine nilikuwa nakakimbia!!!Una ushahidi km raha mnapata wote??? Wanawake acha kabisa wewe
Weeeee hebu jaribu kumchunguza vizuri, pengine wewe kazi yako kwake ndo hiyo na kuna mwingine kazi yake kutoa shilingi, kuwa makiniUshahidi ninao maana nilishawahi kuwa na kademu ka kimbulu yaani kila siku lazima kanatimba gheto afu kanademand nikspige mambo hadi siku nyingine nilikuwa nakakimbia!!!
Ujasiri wakumpa jibu hilo utakuwa huna ushakolezwa utamalizia tu kilobakia kwa simu yako nakukopa utakopa, dada wawatu apate kula
Aaaah wapi!!! Sema nyie wengine mmezidi hamjui kula na kipofu..... We kila siku unataka pesa tuu, kademu ka mizinga, yaani usiione wallet mikojo imekubana unataka pesa!!!Weeeee hebu jaribu kumchunguza vizuri, pengine wewe kazi yako kwake ndo hiyo na kuna mwingine kazi yake kutoa shilingi, kuwa makini