Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,897
- 941
đź“Ť Mtungulu, Igunga
Msafara wa Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa ukiwa umesimama kwenye Daraja la Mto Mtungulu huku Wajumbe wa msafara wakicheza kwa furaha baada ya kuona ujenzi wa daraja umekamilika kwenye Mto uliokuwa ukisumbua Wananchi kuvuka kutoka upande mmoja kwenye upande wa pili unaounganisha Kata ya Mtungulu, Kata ya Bukoko, Kata ya Itumba, na Igunga Mjini.
Mheshimiwa Ngassa (MB) ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Fedha za Barabara Vijijini Jimbo la Igunga Shilingi Bilioni Mbili (Tshs. 2,000,000,000/=) ambazo zimetumika kujenga Madaraja ya Kata za Mtungulu na Mwamashiga yaliyokuwa kero kwa muda mrefu na kuboresha Barabara za Vijijini.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga
Msafara wa Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa ukiwa umesimama kwenye Daraja la Mto Mtungulu huku Wajumbe wa msafara wakicheza kwa furaha baada ya kuona ujenzi wa daraja umekamilika kwenye Mto uliokuwa ukisumbua Wananchi kuvuka kutoka upande mmoja kwenye upande wa pili unaounganisha Kata ya Mtungulu, Kata ya Bukoko, Kata ya Itumba, na Igunga Mjini.
Mheshimiwa Ngassa (MB) ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Fedha za Barabara Vijijini Jimbo la Igunga Shilingi Bilioni Mbili (Tshs. 2,000,000,000/=) ambazo zimetumika kujenga Madaraja ya Kata za Mtungulu na Mwamashiga yaliyokuwa kero kwa muda mrefu na kuboresha Barabara za Vijijini.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga