Kassim Majaliwa: Makontena ya Makinikia yanayosafirishwa nje ya nchi ni halali

PM anaingizwa chaka baya bila kujua. Ameulizwa general question, na alipaswa kama mtendaji mkuu wa serikali, kupress for more specific details, na wala siyo kuhangaika haraka kuwasilisha maelezo mengi kwa lengo tu la kuwapooza Watanzania...
Hayo ndiyo majibu na msimamo rasmi wa serikali. Ulitaka a press ili aje na majibu gani tofauti.
 
Hakika mkuu P, maana tuliambiwa mchanga hautatoka(kuuzwa) hadi ijengwe "smelter" hapahapa.. hiyo kitu imeshajengwa?

Tumepigwa..nakazia
mpaka mzee anaondoka smelter haijajengwa.
hiyo kitu imeishia wapi?
 
Siasa za nchi hii zinaweza kuwa chanzo kikuu cha kuenea kwa kasi magonjwa yasiyoambukiza..........
 
Kwa maelezo haya unataka kuthibitisha kuwa mwendazake alikuwa anadanganya na ilikuwa propaganda tu?
Pili unathibitisha kuwa aliyesema zile report zilikuwa professorial rubbish alikuwa sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…