Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Nimekumis sana kasinde na post zako ndo mambo ya ughaibuni nini?
Japo salam tu tukumbukage
Naona kaona hapatoshi hata aanzishe uzi maana PM angenipata vizuri tuuhukujui PM????
Mpendwa umenizulia balaa, mbona mie nipo nimejaa tele na jana ndo nimetua bongo. Muda ulioanza kunitafuta humu sikuwa hewani na mambo ya foleni hadi kufika home nikalala. Nipo nimejaa tele, wasemajeee!!! Hivi tunafahamiana? Karibu nipo hapa.
Mweeehh kunzushia balaa huku, maana kila anayepiga anasema anaitwa crush na anaenddesha nissan patrol loohMpigie simu 0714111100
Hata mie sijui maana heading inasema Kasinde wapi?sasa sijui anamaanisha Kasinde uko wapi au wapi kitu gani...!!?? ngoja akija mtoa mada aseme mie nimeitika wito tuuInahusiana na nini???
Hahahahahaa jamani ndo kwanza nimerudi crush ntaanza nazo skukuu ikiisha loohYupo busy na crush
Hahahahaaa nilipumzika tuu jana sikuwa na crush. Kwanza huyu@NAJA ni ke aumeMama wa crush yuko bize
Eeehh asante mwaya naona wewe watakuelewa na kukuamini maana wachangiaji wengine washaanza kunizushia. Kasinde kajaa tele MMU, skukuu njema rafiki.Mbona jana alikuwepo?
Kasinde... kanizushia balaa kubwa kila anayepiga anaitwa crush na anaendesha nissan patrol looh!!namba ya nani?????
kazombwa na crush
Hahahahahaa jamani ndo kwanza nimerudi crush ntaanza nazo skukuu ikiisha looh
Hahaha! Jamani zawadi za abroad umetuletea? Hebu tufahamishe umevumbua nini huko. Manake hata maswali ya kukuuliza sina clue, niliishia ulipokuwa unafanya jogging mtaani ulipofikia kuna lami.
Poa best.
Ila ukiona watafutwa ujue wadau wamekumiss.
Karibu tena dar jiji la joto
Kasinde umerudi salama.....(ndani na nje)??
Na Sean umemwacha au umebaba kiroba na kutua nacho Bongo?
Mpendwa umenizulia balaa, mbona mie nipo nimejaa tele na jana ndo nimetua bongo. Muda ulioanza kunitafuta humu sikuwa hewani na mambo ya foleni hadi kufika home nikalala. Nipo nimejaa tele, wasemajeee!!! Hivi tunafahamiana? Karibu nipo hapa.