Wanawake wa sasa na wazamani

Wanawake wa sasa na wazamani

Shamuse_bey

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2026
Posts
467
Reaction score
596
Tuanze na kumshukuru mungu kwa kutufanya sisi sote tuwazima, habari mabibi na mabwana, wanawake wa zamani; ukimtongoza basi hua alikua hakuangalii usoni na kama kucha mikononi zitaisha, na kama ni majani yatachumwa na kung'olewa huku anacheka cheka kwa aibu na hawana mambo mengi mana hua unachotaka wewe ndo wanacho kitii.

ILA hawa wa TEKINOLOJIA ni balaa wanawake wa sasa; ukimsimamisha tu anakua anajua utanza na nini, alafu sasa uwe ndo unamtongozaa, anakutazama maeneo ya usoni, na jinsi anavyo kusikiliza ukiwa unamwaga sera zako anakua kama mtu anaepewa maagizo yani umalize kuongea yeye aondoke. Na likija swala la appointment ya kuja getto, nauli utampa ila akifika tu, utasikia "ila leo nipo kwenye siku zangu"
 
😀😀😀😀😀😀 Evelyn Salt Depal Khantwe Lamomy hebu njoeni hapa
Kipengele hiki nimecheka 😂😂😂😂

wanawake wa sasa; ukimsimamisha tu anakua anajua utanza na nini, alafu sasa uwe ndo unamtongozaa, anakutazama maeneo ya usoni, na jinsi anavyo kusikiliza ukiwa unamwaga sera zako anakua kama mtu anaegewa maagizo yani umalize kuongea yeye aondoke.
 
Tuanze na kumshukuru mungu kwa kutufanya sisi sote tuwazima, habari mabibi na mabwana, wanawake wa zamani; ukimtongoza basi hua alikua hakuangalii usoni na kama kucha mikononi zitaisha, na kama ni majani yatachumwa na kung'olewa huku anacheka cheka kwa aibu na hawana mambo mengi mana hua unachotaka wewe ndo wanacho kitii.
Huo ni uongo, mimi kama mwanamke wa zamani nashauri upuuzwe 😂 .

Real Housewives GIF by Slice (2).gif
 
😀
Kipengele hiki nimecheka 😂😂😂😂

wanawake wa sasa; ukimsimamisha tu anakua anajua utanza na nini, alafu sasa uwe ndo unamtongozaa, anakutazama maeneo ya usoni, na jinsi anavyo kusikiliza ukiwa unamwaga sera zako anakua kama mtu anaegewa maagizo yani umalize kuongea yeye aondoke.
😀😀
 
Kila zama na kitabu chake,the World is always changing nothing stays the same,

Dunia inaenda mbele na hairudi nyuma.
Word,!

Sa mtu anataka mwanamke wa zama hizi achume majani, wakati miti yenyewe siku hizi haina hayo majani ya kuchuma mti unafika tu magotini tayari una matunda na umeishia hapo, au waanze kuinama
 
Back
Top Bottom