we una akili kweli mambo aloyafanya kapuya na aloyafanya mbowe yanaendana kwel?? wewe umefanya uzinzi mara ngap hakuna kiongoz asiyefanya uzinzi ukitaka ujue haya nenda club maisha dodoma kipind cha bunge lakin huo uzinzi umefanya na nani?? we hujawahi fanya uzinzi mbona kijana unafikiria kutumia makalio KAPUYA SIO MZINZI NI KIBAKA.
Yaani hata viongozi wa upinzania tunaowategemea waibane serikali kila kona kwenye maadili ,matumizi na utekelezaji nao hawatosheki na wake zao? maana yake hawatatosheka na mishahara yao nao pia watapokea rushwa kwa ukubwa wa familia zao na majukumu.Je tutafika.