Hongereni kwa kurejea kwa nidhamu chamani.
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
Kwamba hii ni kwa maelekezo yenu au ni kwa heshima au kuhofiwa kwa majina yenu? Hilo wala si la msingi tena:
"The end justifies the means."
Kuhusiana na "heshima," huu ni ushauri mwingine wa bure kwenu ukilenga kwenye kuwafunda wafuasi kuzingatia:
"Heshima ni kitu cha bure na kuwa hutokana na umri, hekima, mchango wa mtu katika jamii au kutokea katika mafanikio yake, yakiwamo u nguli."
Ni muhimu wafuasi wakaelekezwa na wakafahamu:
1. Tofauti zilizipo baina ya watu au baina ya viongozi na wanachama katika chama.
2. Mbowe au Lissu hawawezi kuwa sawa na mwanachama yeyote.
3. Kauli ya Mbowe au Lissu haiwezi kuwa sawa na kauli ya mwanachama au mfuasi yeyote (na eti kwa sababu tu ana mdomo).
4. Kauli ya Mbowe au Lissu ni kauli za chama, lakini si za kila mwanachama, mjumbe au mfuasi mwingine (na hasa inapokuwa bila ridhaa ya chama).
5. Kauli ya nguli mheshimika katika jamii haiwezi kubezwa kireja reja kwa niaba ya chama na hasa bila ridhaa ya chama.
6. Ni muhimu ikawa wazi kuwa wajumbe, wanachama au wafuasi wenye sharubu jamii ya kambale hawawezi kuvumiliwa.
Heshima ni nguzo kuu kuelekea kwenye nidhamu ya kudumu katika chama ambayo umuhimu wake hauwezi kupuuzwa.
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
Kwamba hii ni kwa maelekezo yenu au ni kwa heshima au kuhofiwa kwa majina yenu? Hilo wala si la msingi tena:
"The end justifies the means."
Kuhusiana na "heshima," huu ni ushauri mwingine wa bure kwenu ukilenga kwenye kuwafunda wafuasi kuzingatia:
"Heshima ni kitu cha bure na kuwa hutokana na umri, hekima, mchango wa mtu katika jamii au kutokea katika mafanikio yake, yakiwamo u nguli."
Ni muhimu wafuasi wakaelekezwa na wakafahamu:
1. Tofauti zilizipo baina ya watu au baina ya viongozi na wanachama katika chama.
2. Mbowe au Lissu hawawezi kuwa sawa na mwanachama yeyote.
3. Kauli ya Mbowe au Lissu haiwezi kuwa sawa na kauli ya mwanachama au mfuasi yeyote (na eti kwa sababu tu ana mdomo).
4. Kauli ya Mbowe au Lissu ni kauli za chama, lakini si za kila mwanachama, mjumbe au mfuasi mwingine (na hasa inapokuwa bila ridhaa ya chama).
5. Kauli ya nguli mheshimika katika jamii haiwezi kubezwa kireja reja kwa niaba ya chama na hasa bila ridhaa ya chama.
6. Ni muhimu ikawa wazi kuwa wajumbe, wanachama au wafuasi wenye sharubu jamii ya kambale hawawezi kuvumiliwa.
Heshima ni nguzo kuu kuelekea kwenye nidhamu ya kudumu katika chama ambayo umuhimu wake hauwezi kupuuzwa.