Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

Duh! i wish to take back my earlier comments kuwa Luhigo alikuwa ni mshenzi na mla rushwa kwa sababu source yangu haijakamilika...maana nimepewa info kuhusu minongono ya ulaji rushwa wakati wale wadachi walipopewa contract ya kupanua bandari lakini sijapewa taarifa za kutosha kuhusu hilo hivyo ningependa kuwidhraw my initian allegation mpaka hapo nitakapopata credible data

Kwa hilo nakupa pongezi. Laiti baadhi ya wengine wangekuwa hivi kama hapo ulivyokubali kuwa "ze dataz" zako hazijakamilika, kusingekuwa na hostilities kama ilivyo sasa.

Having said that, it doesn't mean Mr.Luhigo wasn't corrupt.
 
Duh! i wish to take back my earlier comments kuwa Luhigo alikuwa ni mshenzi na mla rushwa kwa sababu source yangu haijakamilika...maana nimepewa info kuhusu minongono ya ulaji rushwa wakati wale wadachi walipopewa contract ya kupanua bandari lakini sijapewa taarifa za kutosha kuhusu hilo hivyo ningependa kuwidhraw my initian allegation mpaka hapo nitakapopata credible data

GT, i salute you kwa uungwana huu !!
 
GT, i salute you kwa uungwana huu !!

Hivi hapa pangekuwaje kama wengi wetu tungekuwa na uungwana kama aliounyesha GT? Ingawa na yeye wakati mwingine huwaga haonyeshi uungwana...but credit should be given where/when it's due
 
Duh! i wish to take back my earlier comments kuwa Luhigo alikuwa ni mshenzi na mla rushwa kwa sababu source yangu haijakamilika...maana nimepewa info kuhusu minongono ya ulaji rushwa wakati wale wadachi walipopewa contract ya kupanua bandari lakini sijapewa taarifa za kutosha kuhusu hilo hivyo ningependa kuwidhraw my initian allegation mpaka hapo nitakapopata credible data

Thank you Game Theory.

Thank you for a mind wide open enough to correct the besmirching words on the record of Samson Luhigo.

Kama kuna fisadi huko unamjua mlete hapa tumuanike, lakini I assure you GT, Samson Luhigo alikuwa anaogopa rushwa kama ukoma yule mzee. Alikuwa hataki hata kukubali vi appointment appointment na wahindi wahindi mafisadi ambao walikuwa wanamtafuta kiiila wakati.

Jambo moja ambalo namshukuru Athumani Janguo, despite all the allegations of malfeasance that clouded his tenure at Harbors (ambazo sina uhakika nazo zaidi ya utajiri wa familia yake ulioonekana kwa nje ) ninachomshukuru ni kumpendekeza Samson Luhigo kwa Mwinyi wakati anastaafu Bandari. Yule mtu mwingine ambae originally alikuwa groomed to succeed Janguo, the former Chief Financial Officer, appointment track yake ili falter amidst embezzlement allegations when he was the Kaimu Mkurugenzi Mkuu, so then Mwinyi went into a tizzy trying to fill the post. Ndio Janguo akampendekeza Luhigo. Namshukuru Janguo kwa sababu aliangalia merit, at that time ilionekana hakukuwa na mtu anaeijua Harbors na mchapa kazi kama Luhigo. I mean Janguo angeweza kupendekeza swahiba, you know. Na Mwinyi pia, kwa pale alionyesha tremendous leadership, unajua Tanzania huwa hatufati meritorious system.

Trust me, Samson Luhigo's integrity is unimpeachable and unblemished, and has never being questioned.

Thank you again, Game Theory, for being accountable and honorable.
 

Posted by Enigma: bado tuna ngonjea musamaha kutoka kwako
kwa visingizio mbarimbari ulivyo murushia dokta masau alimuradi nawewe uwe accountable...

Unangojea msamaha kutoka kwangu, sawa nimekusamehe kwa kutojua unachokiongea.
 
bado tuna ngonjea musamaha kutoka kwako kwa visingizio mbarimbari ulivyo murushia dokta masau alimuradi nawewe uwe accountable

Oooh noooo...he is the Almighty...The All Knowing...The Ever Right....aombe msamaha/radhi wa/ya nini? Umewahi kumwona akifanya hivyo hapa jamvini?
 
Nyani

hii statement yako inanifanya nipunguze hesma kwako....."Having said that, it doesn't mean Mr.Luhigo wasn't corrupt." kama kweli alikuwa Corrupt inabidi uwe na statement za ku back hizo shutuma zako....Kuhani ameelezea vyema kabisa pia Game amekubali ya kuwa hana vithibitisho.Chati yako ilikuwa juu sana lakini kwa sentensi hii inabidi niiporomoshe chati yako kama dallor ya Zimbabwe....na kunifanya post zako nisiziamini.
 
Jamani nimembana tena source wangu kuhusu Luhigo na nimegundua alikuwa ananimislead sasa sijajua kama ilikuwa ni deliberate au la. Lakini conclusion yangu kuhusu huyu ni kuwa it appears nimekuwa hoaxed by con man and an audacious swindler who has created a fantasy world kwa sababu alikuwa na beef na Mzee Luhigo pale THA.

Wadau kumkashifu na kumtolea maneno yasiyo na msingi huyu mzee nimeteleza I failed to do my job kama poster wa muda mrefu na kama mzee Luhigo anasoma hii thread then i would like to say "I'm sorry."

I should not have let myself be fooled na huyu jamaa. I deeply regret that I have let myself as well as Jamii Forums readers down." I posted this story with the sincere belief that the information nilizikuwa napewa na source yangu zilikuwa genuine, lakini my good intentions are beside the point.

Zaidi ya hayo,the bottom line is that the information i relied on should not have been used. Hivyo ningependa tena kuchukua fursa hii kumtaka radhi mzee LUHIGO na wasomaji wa JF na as a result nitaendelea kuinvestigate this matter na ninawaahidi kuwa nitajaribu kukidhi jukumu langu kama poster kwa kufanya critical self-examination. Wadau kwa hili naombeni sana RADHI.
 
Nyani

hii statement yako inanifanya nipunguze hesma kwako....."Having said that, it doesn't mean Mr.Luhigo wasn't corrupt." kama kweli alikuwa Corrupt inabidi uwe na statement za ku back hizo shutuma zako....Kuhani ameelezea vyema kabisa pia Game amekubali ya kuwa hana vithibitisho.Chati yako ilikuwa juu sana lakini kwa sentensi hii inabidi niiporomoshe chati yako kama dallor ya Zimbabwe....na kunifanya post zako nisiziamini.

Labda nifafanue nimemaanisha nini (ala El Rushbo..by the way, did y'all see his first address to the nation...no prompter..just straight off the dome..that's sak passe).

Ni hivi bwana Mstahiki, Gemu kasema anaondoa maneno yake hadi hapo atakapopata "ze dataz" za kuaminika which means labda ataenda kusaka "ze dataz" zaidi. Having said that, inawezekana Luhigo naye alikuwa mwizi lakini hatujui tu bado na tukijua ndo tutaweza kusema kwa mamlaka kuwa na yeye ni kibaka tu kaa wengine.

Gemu kuondoa maneno yake hakumsafishi Luhigo (na sisemi kuwa ni mchafu).

Nimeeleweka? Kama bado lemme know and I'll be happy to dumb down my clarification, okay?
 
Game T & Nyani N

Nakupa nishani ya ustaarabu....Nani Ngabu fata nyao za Muungwana Game...tunahitaji watu kama hawa si tu kuiendeleza JF bali Taifa letu kwa Ujumla..JF inaheshimika sana na tukileta ubishani wa mtaani na vijiweni tutazamisha JF...Game T keep it up.


Mstahiki
 
Game T & Nyani N

GAME T Nakupa nishani ya ustaarabu....Nani Ngabu fata nyao za Muungwana Game...tunahitaji watu kama hawa si tu kuiendeleza JF bali Taifa letu kwa Ujumla..JF inaheshimika sana na tukileta ubishani wa mtaani na vijiweni tutazamisha JF...Game T keep it up.


Mstahiki
 
Game T & Nyani N

GAME T Nakupa nishani ya ustaarabu....Nani Ngabu fata nyao za Muungwana Game...tunahitaji watu kama hawa si tu kuiendeleza JF bali Taifa letu kwa Ujumla..JF inaheshimika sana na tukileta ubishani wa mtaani na vijiweni tutazamisha JF...Game T keep it up.


Mstahiki

Oh no...me no kufuata nyayo za mtu. Nafuata akili yangu mwenyewe.

BTW, umeelewa lakini nilichokisema?
 
Jamani nimembana tena source wangu kuhusu Luhigo na nimegundua alikuwa ananimislead sasa sijajua kama ilikuwa ni deliberate au la. Lakini conclusion yangu kuhusu huyu ni kuwa it appears nimekuwa hoaxed by con man and an audacious swindler who has created a fantasy world kwa sababu alikuwa na beef na Mzee Luhigo pale THA.

Wadau kumkashifu na kumtolea maneno yasiyo na msingi huyu mzee nimeteleza I failed to do my job kama poster wa muda mrefu na kama mzee Luhigo anasoma hii thread then i would like to say "I'm sorry."

I should not have let myself be fooled na huyu jamaa. I deeply regret that I have let myself as well as Jamii Forums readers down." I posted this story with the sincere belief that the information nilizikuwa napewa na source yangu zilikuwa genuine, lakini my good intentions are beside the point.

Zaidi ya hayo,the bottom line is that the information i relied on should not have been used. Hivyo ningependa tena kuchukua fursa hii kumtaka radhi mzee LUHIGO na wasomaji wa JF na as a result nitaendelea kuinvestigate
icon_cool.gif
this matter na ninawaahidi kuwa nitajaribu kukidhi jukumu langu kama poster kwa kufanya critical self-examination. Wadau kwa hili naombeni sana RADHI.

That is behind us now, in my book.

Again, I thank you, and I think you demonstrated rectitude on the way you handled the debacle.
 
Duh! i wish to take back my earlier comments kuwa Luhigo alikuwa ni mshenzi na mla rushwa kwa sababu source yangu haijakamilika...maana nimepewa info kuhusu minongono ya ulaji rushwa wakati wale wadachi walipopewa contract ya kupanua bandari lakini sijapewa taarifa za kutosha kuhusu hilo hivyo ningependa kuwidhraw my initian allegation mpaka hapo nitakapopata credible data

GT

Huu ni ukomavu wa hali juu na ni funzo kwa sisi wote kukiri mapungufu pale inapo bidi kufanya hivyo.

Kuhani ......Mhhhhh, yaani umempa kibano mkuu GT mpaka senti ya mwisho?

Generally nimependa sana michango yenu!

Cheers!
 
Jamani nimembana tena source wangu kuhusu Luhigo na nimegundua alikuwa ananimislead sasa sijajua kama ilikuwa ni deliberate au la. Lakini conclusion yangu kuhusu huyu ni kuwa it appears nimekuwa hoaxed by con man and an audacious swindler who has created a fantasy world kwa sababu alikuwa na beef na Mzee Luhigo pale THA.

Wadau kumkashifu na kumtolea maneno yasiyo na msingi huyu mzee nimeteleza I failed to do my job kama poster wa muda mrefu na kama mzee Luhigo anasoma hii thread then i would like to say "I'm sorry."

I should not have let myself be fooled na huyu jamaa. I deeply regret that I have let myself as well as Jamii Forums readers down." I posted this story with the sincere belief that the information nilizikuwa napewa na source yangu zilikuwa genuine, lakini my good intentions are beside the point.

Zaidi ya hayo,the bottom line is that the information i relied on should not have been used. Hivyo ningependa tena kuchukua fursa hii kumtaka radhi mzee LUHIGO na wasomaji wa JF na as a result nitaendelea kuinvestigate this matter na ninawaahidi kuwa nitajaribu kukidhi jukumu langu kama poster kwa kufanya critical self-examination. Wadau kwa hili naombeni sana RADHI.

Karibu huu upande wa dunia ambapo wanadamu huwa wanakosea. Ni ubinadamu tu na heshima yangu kwako na mchango wako katika JF hauaribiwi na hili kwa kipimo chochote kile. Don't beat yourself so hard. You are a good man and you had good intentions and sometimes and yes sometime even the best of us sometimes we DO FAIL or FALL. It is called the human condition. Pangusa vumbi bro, get urself up, get your head up, and on we go!!

Hili halitakumbukwa kama ushahidi.
 
Karibu huu upande wa dunia ambapo wanadamu huwa wanakosea. Ni ubinadamu tu na heshima yangu kwako na mchango wako katika JF hauaribiwi na hili kwa kipimo chochote kile. Don't beat yourself so hard. You are a good man and you had good intentions and sometimes and yes sometime even the best of us sometimes we DO FAIL or FALL. It is called the human condition. Pangusa vumbi bro, get urself up, get your head up, and on we go!!

Hili halitakumbukwa kama ushahidi.

Kukosea na kuomba radhi sometimes haisaidii, no bora mchunguze hizo mnazoziitra source zenu na muepuke kukurupuka ili mradi tu zionekane posting zene JF
 
Lakini ndogondogo zinazoenea mjini ni kuwa hao si kati ya wanaopigiwa chapuo kwenda huko. Kuna maneno kuwa huenda Mattaka ndio akapelekwa
What? God forbid!
Tunakuwa waoga tu kwanini hii kazi isitangazwe watu wapewe nafasi ya kusema watadeliver nini/interview/select then vetted. Kuna vijana wengi tu capable nchi hii. Do we have to recycle DGs? Au kuna watu wamezaliwa maalum kuwa DGs-na kuua mashirika?
Hii style ya uongozi inanipa shida sana...sina pa kuiweka.
Kama DG wa THA alishapewa maelekezo na deadline halafu hajatekeleza....ni kwaninini anaendelea kubembelezwa? Alitakiwa awe fired juzi na sio jana hata huyo Waziri wa Miundombinu alitakiwa asiwepo...Mh Rais anafoka pale wao wanaangalia tu." I thought it was a clip from the Orijino Komedi". Ilikuwa kama naota vile
 
Kukosea na kuomba radhi sometimes haisaidii, no bora mchunguze hizo mnazoziitra source zenu na muepuke kukurupuka ili mradi tu zionekane posting zene JF

Umewahi hata siku moja kukosea? Umewahi hata mara moja kuomba radhi?
 
Back
Top Bottom