Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

Najua mtaanza ohhh GT umezidi mara ohhh GT this is unfair lakini mimi niko kule kule WE DARE TALK OPENLY na mindhali tunapiga vita ufisadi nadhani ni vizuri tukamsaidia JK kufanya kazi yake.

Definition ya UFISADI si kuiba kama walivyoiba pesa za EPA au kama ambavyo Spika Sam Sitta kujenga ofisi la mamilioni ya dola kwa pesa za walalahoi bali ufisadi ni pamoja na kuokosesha serikali mapato kama ambavyo BODI na MENEJIMENTI ya THA wanavyofanya kwa sababu wanamwogopa ROSTA,KARAMAGI ambao ni wadau wakubwa wa TICS.Usiku huuu nimehesabu MIGAWE au meli zilizojazana kule baharini na nimeishia 21...yaani zote zile zinashindwa kutia nanga kwa sababu hakuna nafasi..,huu ni UJUNGA,UZEMBE NA UFISADI wa hali ya juuu ya wafuatao:


1)Mr. Ephraim Mgawe
Director General

2)Mrs. Happiness Senkoro
Deputy Director General

3)Mr. Hamad Koshuma
Executive Assistant to the Director General


Director of Operations: Capt. G. Mokiwa
Director of Special Operations: Mr. B. Komba
Director of Marketing: Mr. Flavian Kinunda
Director of Human Resources: Ms. M. Mrisha
Director of Planning: Mrs. Florence Nkya
Corporate Communications Manager: Mr. Franklin Mziray

Port Manager wa Dar Es Salaam: Mr. Jason Rugaihuruza​
Jamani hawa ndio wanaosababisha zile meli kukaa bandarini tangu NOVEMBER na hawa ndio MAFISADI WAKUBWA BANDARI ya DSM...sasa anayebisha aje lakini ukweli ndio huo.Inauma eti tunashusha Kontena Mombasa kwa sababu tuuu hakuna mtu aliyetaka kukubali kuwa hawa watajwa wameshindwa kazi zao...mtu usiku unatazama bandari utafikiri ni mji mwingine !

zaidi ya hayo mheshimiwa SHUKURU KAWAMBWA alishawaambia akina Mollel kama wameshindwa kazi basi serikali itaivunja bodi lakini nashangaa wakikaa kwenye vikao vyao vya unywaji wanamtukana eti waziri ana mambo ya kiswahili na anatafuta attention! wanayoyasema kuhusu JK ndio siwezi hata kusema humu.
 
Duuh Game siku hizi uko irrelevant...ahahahahahahaaa...pole sana aithee...
 
GT safi sana kwa hii info, maana kila siku tunalia na bandari yetu,

Wafukuzwe wote au wamwagiwe Txxxxxxxxxx...maana wanatuchelewesha....!!!
 
Tatizo ni kweli Shukuru Kawambwa ni mswahili kwani maneno mengi vitendo hakuna!! Hajafanya lolote toka ameingia wizara hiyo kubwa sana ni kuwatafutia waswahili wenzie nafasi za ulaji; alisema sana juu ya ATCL mpaka akaunda tume ya ulaji ya waswahili wenzie wakina Mshoro na Mussa Assad lakini mpaka leo hii taarifa ya tume yake inajaa vumbi ofisini kwake na akiulizwa anapata kigugumizi!! Hao ndio mawaziri wa wanamtandao!! Hamna kitu hapo.
 
Wakati mwingine tunaweza kuwalaumu watendaji lakini matatizo yapo kwenye central government yenyewe....... Hivi tuna uhakika kuwa hawa watendaji hawajawahi kutuma mapendekezo yoyote huko serikalini kuhusu upanuaji wa bandari au utendaji wa watu kama TICTS etc ....Nakumbuka wakati fulani aliyekuwa mkurugenzi wa bandari bw. Samson Luhigo aliwahi kupasua mbele ya Mkapa {Soma hapa} wakati fulani kuhusu issue za TICTS lakini hakuwahi kusikilizwa.

Suala jingine ninalotaka kuongelea unakuta wanasiasa wanaingia mikataba ya ushirikiano au kutumia bandari ya Dar es Salaam, nadhani imewahi kufanywa kwa Uganda, Rwanda na Burundi. Sijui katika hiyo mikataba huwa wanawahusisha wataalam kuangalia uwezo wa bandari kwa sasa na miaka ijayo na mipango ikoje? .....au miundo mbinu kwa ujumla au ndio ile mikataba mnaingia ili mpige picha uonekane unafanya kazi kama mwanasiasa?

Kwa mtazamo wangu mimi inawezekana kutukanwa kwa wanasiasa na wakuu hawa wa bandari kama GT anavyosema kunatokana na wao zaidi kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi yanayohitaji utaalamu, pesa, etc sio kauli tu za kisiasa.
 
Last edited:
Duuh Game siku hizi uko irrelevant...ahahahahahahaaa...pole sana aithee...


al muhimu ni kuwa nilituma Kontena mwezi wa 11 toka Hanoi mwishoni mwa mwezi wa 11 na kilichotokea ni kuwa mpaka leo naambiwa bado meli haijapewa nafasi ya kuingia...to be fair wanaotuma magari dogo wao meli zao zinapata nafasi hivyo kama kuchelewa ni miezi miwili

Hivi unaweza kuamini kuna watu waliagizia miti ya krismass na mpaka leo kontena zao haizija teremshwa? Kisa Bandari imejaa


Unajua LUHIGO japo alikuwa ni mshenzi mshenzi na mla rushwa enzi zake lakini JAMAA KAZI ALIKUWA NAFANYA....i am not gonna knock him him down

sasa kwa taarifa yako niliagiza 40ft container nyingine wakati huo huo lakini ilikuwa inatokea Ghuanzhou na ilichukua only 1 month na niliteremshia Mombasa ambako it only took 24 hrs contena likawa lishapita kule border HORO HORO...sipendi ku confess lakini kwanza nililipa less,pili sikusumbuliwa na TRA kama ambavyo ningesumbuliwa Dar na mzigo ushakwisha


Inaniumz akuwa serikali imekosa pesa nyingi toka kwangu kwa sababu ya uzembe wa hao niliowataja kwa sababu wanaogopa kuwaambia TICS kuwa wamebreach contract yao na kazi wameshindwa WHY ? kwasababu zaidi wanamwogopa ROSTAM na kampuni yake...jambo ambalo Jakaya hana kinyongo in the wake of huu ufisadi left and right


Suggestion yangu ni kuwa mindhali KIMEI wa CRDB au jule bosi wa TRA wanafanya kazi nzuri tuuu kwa nini JK asimuapoint mmojawao kwenda kuisort out THA? maana Mgawe na GENGE lake la MAFISANI naona wameshindwa kazi na evidence wee pila SALENDA bridge utaona meli zilivyo jazana kule baharini
 
Suggestion yangu ni kuwa mindhali KIMEI wa CRDB au jule bosi wa TRA wanafanya kazi nzuri tuuu kwa nini JK asimuapoint mmojawao kwenda kuisort out THA?

Lakini ndogondogo zinazoenea mjini ni kuwa hao si kati ya wanaopigiwa chapuo kwenda huko. Kuna maneno kuwa huenda Mattaka ndio akapelekwa
 
By the way serikali inawalipa wenye meli MILIONI 20 kwa siku kwa sababu ya delays...na nadhani wote mnajua hizi pesa zinatoka wapi
 
Najua mtaanza ohhh GT umezidi mara ohhh GT this is unfair lakini mimi niko kule kule WE DARE TALK OPENLY na mindhali tunapiga vita ufisadi nadhani ni vizuri tukamsaidia JK kufanya kazi yake.

Definition ya UFISADI si kuiba kama walivyoiba pesa za EPA au kama ambavyo Spika Sam Sitta kujenga ofisi la mamilioni ya dola kwa pesa za walalahoi bali ufisadi ni pamoja na kuokosesha serikali mapato kama ambavyo BODI na MENEJIMENTI ya THA wanavyofanya kwa sababu wanamwogopa ROSTA,KARAMAGI ambao ni wadau wakubwa wa TICS.Usiku huuu nimehesabu MIGAWE au meli zilizojazana kule baharini na nimeishia 21...yaani zote zile zinashindwa kutia nanga kwa sababu hakuna nafasi..,huu ni UJUNGA,UZEMBE NA UFISADI wa hali ya juuu ya wafuatao:

Jamani hawa ndio wanaosababisha zile meli kukaa bandarini tangu NOVEMBER na hawa ndio MAFISADI WAKUBWA BANDARI ya DSM...sasa anayebisha aje lakini ukweli ndio huo.Inauma eti tunashusha Kontena Mombasa kwa sababu tuuu hakuna mtu aliyetaka kukubali kuwa hawa watajwa wameshindwa kazi zao...mtu usiku unatazama bandari utafikiri ni mji mwingine !

zaidi ya hayo mheshimiwa SHUKURU KAWAMBWA alishawaambia akina Mollel kama wameshindwa kazi basi serikali itaivunja bodi lakini nashangaa wakikaa kwenye vikao vyao vya unywaji wanamtukana eti waziri ana mambo ya kiswahili na anatafuta attention! wanayoyasema kuhusu JK ndio siwezi hata kusema humu.

Da Mkuu GT Heshima mbele, yaaani yooooote tisa kumi nilikuwa nasoma huku nashangaa mbona sifikiiiii kumbe jina lipo la mwishoo Mr. Jason Rugaihuruza huu ndio Muhogo Mchungu sana pale Bandari. Thanks Mkuu tupo pamoja nawala haturudi nyuma.
 
Last edited:
halafu ukiwasikia wanavyomsema JK na Kawambwa basi utajiuliza hawa watu wanapata wapi guts hizi?

ukweli ni kuwa hawaogopi kitu na akina Mollel wanajua fika kuwa hakuna mwenye ubavu wa kuwaambia kitu hao TICS na ROSTAM
 
Hiyo ndio Tanzania, ushauri ni kuwa Kenya wana bandari nzuri na haina uswahili ni vema kutumia bandari ya Mombasa. Bandari hata JK imemshinda kwa hiyo the best way kwa sisi kumsaidia rais ni kutumia bandari ya Mombasa.
By the way hao watu wa juu hawaathiriki chochote, mizigo yao inakuja kwa ndege na mingine inapitia Mombasa.
 
halafu ukiwasikia wanavyomsema JK na Kawambwa basi utajiuliza hawa watu wanapata wapi guts hizi?

ukweli ni kuwa hawaogopi kitu na akina Mollel wanajua fika kuwa hakuna mwenye ubavu wa kuwaambia kitu hao TICS na ROSTAM

Kweni Rostam ana hisa TICS?
 
Unajua LUHIGO japo alikuwa ni mshenzi mshenzi na mla rushwa enzi zake lakini JAMAA KAZI ALIKUWA NAFANYA....i am not gonna knock him him down

Hahahahahaaaa...Game wewe kweli mchokozi. Bahati nzuri watu (mtu)wako (yuko) kwenye hiatus na hiyo ita spare ubishi usio na mwisho.

Ila saa ingine napenda jinsi ambavyo hu-mince maneno yako. True Ngabu style.
 
Kama kuna mambo ambayo JK anatakiwa kuonyesha utendaji wake wa kazi, kuidabisha sirikali yake, siyo tu kuivalia kidedea sirikali iliyopita. Kujazana kwa mameli hapo bandarini ni ishara nzuri ya kuwa biashara inapamba moto, lakini mizigo ikianza kulala miezi kadhaa hapo kunatatizo. JK fanya kweli, majeshi unayo fanya kweli JK. AIBU
 
By the way serikali inawalipa wenye meli MILIONI 20 kwa siku kwa sababu ya delays...na nadhani wote mnajua hizi pesa zinatoka wapi

huu ndio ujinga wamwafrika, wakati vijana wa tra wanaku ngangania kukutoa inflated kodi, hiyo hiyo inatoka mlango wa pili, kulipa hizo meli.
 
Hili tumeliandika kwa kirefu kwenye Cheche toleo lililopita. It is true.

Kule kwenye FORUM yako umeanzisha thread unasema Dr DAU apelekwe Bandari kwa kudai hivi:
Vyanzo vyetu muhimu vinadokeza kuwa kutokana na hali mbaya inayoendelea Mamlaka ya Bandari kuna kila dalili kuwa Mkurugenzi wa NSSF Dr. Ramadhani Dau ni miongoni mwa majina yanayotajwa kuweza kwenda kuchukua nafasi ya kuliokoa shirika hilo la Bandari ambalo kwa siku za hivi karibuni limejikuta katika matatizo makubwa.

Mwingine ambaye anaweza kupelekwa huko ni Bw. David Mattaka aliyekuwa ATCL. Hata hivyo kuna majina mengine ambayyo pia yanatajwa na ambayo yanaonekana kuvutia heshima kwa watumishi wa bandari..

"Dr. Dau ana nafasi kubwa na kwa kweli yeye mwenyewe yuko tayari kwa uamuzi huo endapo Rais Kikwete ataamua kufanya mabadiliko huko Bandari"
kimetuambia chanzo chetu.

Kuhusu Mattaka chanzo chetu kimedokeza kuwa "sasa hivi Rais anatafuta mahali pa kumuweka rafiki yake yaan Bw. Mattaka. Hawezi kumtoa na kumuacha apigwe na jua na hiyo ndiyo sababu pekee Mattaka bado yuko ATCL".

SOURCE HAPA:
Dr. Dau kupelekwa Bandari kuiokoa? - Page 2 - MwanaKijiji.COM


mwanakijiji huu ni UNAFIKI wa highest order!
wewe huyo huyo miezi michache iliyopita ulikuwa na kampeni Dr DAU afukuzwe na hafai all along leo ghafla Dr Dau anafaa? au ndio njama Dr Dau asikamilishe malengo ya NSSF ya kumaliza University Dodoma ambako watoto wa walalahoi wanasoma na Daraja la Kigamboni kuwakomboa wasio na pesa za kuishi Detroit kama wewe mwanakijiji? Kinachowaudhi hasa ni nini? hutaki NSSF chini ya Dau iache landmark ya miaka ijayo? maana inavyoelekea hilo ndilo msilolitaka.Wapo watanzania wengi tuuu AMBAO WANGEWEZA KWENDA BANDARI na wakaisort out . Jamani DR DAU SI MWARUBAINI!


Nadhani tatizo lako unakaa sana nje na kupiga makelele bila kujua hali halisi ilivyo on the ground hivi ushaona wanachokifanya NSSF kule Dodoma au ushaona walivyo wafanya polisi pale Keko?

Kila mtu anajua matatizo ya Bandari kwa kiasi kikubwa yanatokana na TRA mbona husemi Dr Dau apelekwe TRA akakusort out au basi tuu?
 
Back
Top Bottom