Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,510
- 105,137
Bila shaka na wewe utakua ni mnufaikaji wa dili za upigajiDuuh, Naona umeandika uzi mrefu sana ukilinganisha na ujumbe uliotaka kuufikisha. By the way Pole Sana na Acha kufuatilia dili za watu
Bila shaka na wewe utakua ni mnufaikaji wa dili za upigajiDuuh, Naona umeandika uzi mrefu sana ukilinganisha na ujumbe uliotaka kuufikisha. By the way Pole Sana na Acha kufuatilia dili za watu
Pamoja na kuandika ujumbe mwanana, lakini pasipo kumuandika Nyerere nafsi yako hua haisuuziki eeehhh...Haya unayoyaongea mleta mada ndiyo yaliyofanya mashirika ya umma yote kufa tokea enzi za Nyerere. Ubinafsi.
Watumbuliwe tu.
Nnauhakika Rais au wasaidizi wake wamekusoma na TAKUKURU wanakusoma na mawaziri husika wanakusoma na hatua za haraka zitachukuliwa.
Uozo huo.
Amefanya nini?Hata meneja Wa Nmb Kasulu nae achunguzwe....
Ndo ninyi ambao mnatongoza dem badala yakuwa specific unaanza muhadithia tamthilia ya Isidingo. Huwezi elewa umuhimu a kuwa straight to to the point ktk formal writing kama shule yako ndogo.
Hapa sio chit chat hivyo ilibidi awe makini na kutoweka porojo zisizo za maana.
Hakuna namna inabidi atumbuliwe hasa ukizingatia kuna hela yetu walipakodi zile hisaJamaa wa ugavi wa NMB amekuwa taijiri mkubwa sana kwa pesa za ma supplier ana vijumba vingi nadhani nusu ya Masamaki! Jamaa tajiri sana makongo na goba mbezi huko.....ni balaaa
Hapo ni kwenye tenda ya umeme wa ATM tu! Bado kwenye software, mafuta, chai, spea za magari nk. Watanzania wamelaaniwa kabisa! Ndio maana sishangai mabenki kufirisika, maana kila sehemu. Wapinzani wa serikali hii ambao wengi ni sehemu ya wapigaji njoo huku, "eti afisa wa chini"
Mzee Tupatupa upo?Kama unaongea ukweli, ondoa hofu utakuwa salama. Tutakulinda!
Mzee Tupatupa
Nani aliyekwambia ni Benki ya uma?? Thubutu. Wewe unafikili CEO NI MSWAHILI.
Au wajerumani walikataa kutoa 10% nini?
Share kiasi gani kiongozi?Mkuu Serikali ya TZ ina share NMB! Kwa hiyo hujuma zozote dhidi ya NMB inatuhusu sana
Pamoja na kuandika ujumbe mwanana, lakini pasipo kumuandika Nyerere nafsi yako hua haisuuziki eeehhh...
Tena unaweza kukuta hiyo link ina uhusiano na hili tukiokupitia hii thread hapa, Jovin Kwanini unataka kumfukuzisha mume wangu kazini? basi sina imani tena na hii bank
now pesa zangu nitazihifadhi kwenye kibubu au chini ya godoro