Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

Atari hii bank sina hamu nayo walinizulumu pesa zangu na kunisingizia deni eti wakadai ni mdaiwa wa serikali niliangaika kufatilia haki yangu mwisho nikaangukia pua ni mijizi sana wafanyakazi wa hii bank pamoja na branch manager ipo siku ntaandika mada nzima jinsi walivyoonibia pamoja nitakua tayari autos ushahidi popote itakapoitajika.
 
Duuh, Naona umeandika uzi mrefu sana ukilinganisha na ujumbe uliotaka kuufikisha. By the way Pole Sana na Acha kufuatilia dili za watu
 
NMB watanzania tumewachoka na bahati nzuri mpo humuhumu waambieni wakubwa zenu elimu zao ziwasaidie
 
Habari ya mwanao kuumwa haikustahili wepo hapa..
Ni namna tu ya uandishi,wewe chukua lile la maana aliloliandika,haya mengine unayoona 'hayastahili" achana nayo.Writing is an Arts,not all do posses and learn.Hata ukoko wa juu wa wali hauwekwi meza kuu,lkn una umuhimu wake kwa wali kuiva vizuri.Kula wali na achana na ukoko...
 
Haya unayoyaongea mleta mada ndiyo yaliyofanya mashirika ya umma yote kufa tokea enzi za Nyerere. Ubinafsi.

Watumbuliwe tu.

Nnauhakika Rais au wasaidizi wake wamekusoma na TAKUKURU wanakusoma na mawaziri husika wanakusoma na hatua za haraka zitachukuliwa.

Uozo huo.
 
Ni namna tu ya uandishi,wewe chukua lile la maana aliloliandika,haya mengine unayoona 'hayastahili" achana nayo.Writing is an Arts,not all do posses and learn.Hata ukoko wa juu wa wali hauwekwi meza kuu,lkn una umuhimu wake kwa wali kuiva vizuri.Kula wali na achana na ukoko...

= writing is an art. Siyo "arts".

Halafu mbona post yako hukuweka spacing sehemu zingine?

Nyani haoni kundule...
 
Siku ya ijumaa 18/11/2016 niliondoka kazini mapema kidogo, mida ya saa 7 baada ya dada wa kazi kunitaarifu kwamba ,
Ingawaje upo tayari kwa lolote lakini bila shaka ni pale ambapo hapana budi! Nakushauri u-edit hiyo sehemu, inaweza kusomeka: "Kuna siku niliondoka kazini mapema baada ya kupata hudhuru....!" Kwa hivyo ulivyoandika; kama wanapata mtu smart kwa lengo la kuku-track; trust me, hiyo ni information tosha sana ku-connect na dots zingine na hatimae kukufahamu wewe ni nani, or else, labda kama umelenga ku-divert attention! Aidha, fikiria ku-rewrite hizi details na nyingine sawa na hizi:
Siku ya ijumaa 18/11/2016 niliondoka kazini mapema kidogo, mida ya saa 7 baada ya dada wa kazi kunitaarifu kwamba, mwanangu wa pili alirudishwa kutoka shule mapema baada ya kuonyesha dalili za kuwa na malaria. Pale Tabata Kimanga nina kabiashara kadogo, kwa hiyo nikaamua kupapitia kuangalia maendelo kabla ya kwenda nyumbani. Biashara yangu haipo mbali na jengo la ATM la NMB. Baada ya kuwasili, niliona umati mkubwa mbele ya jengo hilo, kidogo nilishtuka na kutaka kujua kulikoni. Wengi wa waliokusanyika pale, walionyesha kukerwa sana kwa sababu wajerumani walikuwa wanang’oa mitambo yao za kufua umeme walizofunga kwenye hizi ATM tatu za hapa Kimanga.
 
Ameji-expose sana kny hii thread jambo ambalo halikuwa na lazima
Mkuu werrason jamaa mjanja sana huyo!!kujiondoa kabisa asifahamike kazunguka sana.Huo utangulizi haukuwa wa bahati mbaya,ni kuwaondoa relini wale wote watakaofanya juhudi za kumfahamu.Amefaulu,maana wengi wameamini utangulizi huo unamuhusu haswaa yeye kambe hapana
 
".................... NMB benki ya makabwela.........!
 
Back
Top Bottom