Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

nmb wez wakubwa hawa,saiz wameongeza riba ktk mikopo yao toka 18 mpaka 22,pia wanawaliza sana wafanyakaz ambao wamelazimishwa na serikal lazma mishahara yao ipitie benk hyo! nch ya maajab sana'
 
Habari ya mwanao kuumwa haikustahili wepo hapa..
Hiyo ya mwanae Na nyingine ilipaswa iwepo, hata angeunganisha kuwa alienda kunywa bia Bar inayoangaliziana na ATM mojawapo ya NMB! Hujawahi kuwa mwandishi...kama story Ni ya kweli vitu Kama hivyo vinafanya msomaji apate mtiririko mzuri Ili kuamini story
 
Back
Top Bottom