Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

Kashfa nzito ndani ya Benki ya NMB

NMB ina matawi kila kona hapa nchini, sasa unaitaje kashfa nzito kwa ishu ya kaeneo kamoja ambapo sioni kama inaathiri sera za benki kwa namna yoyote. Au na wewe ulikuwa unakula kwa wajerumani? Kwa udogo WA suala hili sioni kama ni kashfa nzito
Mkuu tusaidiane kiukoo,sijui kama umemuelewa vizuri mtoa mada.Mradi huu ulianzia Kimanga kama sehemu ya "majaribio" na hatimaye usambazwe Tz nzima.

Watumiaji wa ATM za Tabata Kimanga wanajua faida za mradi huu.Maana zunguka ATM zote eneo la kuanzia Kigogo,Buguruni,Tabata,Vingunguti mpaka Maramba Mawili na hata Ilala ya Bungoni,ukikosa pesa sbb ya umeme,basi jua Kimanga ndio suluhisho.Sasa mradi huu "umeingia kidudu mtu",ndio maana hata Kimanga kwa sasa sio kimbilio tena.

Faida hizi za Kimanga zingeenda mpaka Tunduru Masasi hadi Nanjilinji,hivyo kuondoa tatizo katika maeneo mengi,sasa ndio anasema kushindakna huku ni mkono wa watu wanaofaidika na ubovu wa teknolojia
 
Sitaki kuamini kama kuna kidume mwenye mamlaka na umma wa watanzania Zaidi ya Baba J' huyu mgavi aondolewe haraka sana maana anasababisha watu kutumia masaa 3 kuifikia ATM kutoa elfu 50 tu
 
Kama unaongea ukweli, ondoa hofu utakuwa salama. Tutakulinda!

Mzee Tupatupa
Kijana tutakulinda tulia wakikutumbua weka hapa JF na huyo anayejifanya kidume wa ugavi nmb atashughulikiwa.
Jamaa hakuna na haja ya kuficha majina yao. Aweke wazi kila kitu watu wapate clue nzuri ya kuanzia kazi.
Huu mchezo uko taasisi nyingi mno za serikali. Nyingi sana hazina idadi. Mara nyingi hata wenyeviti wa bodi za wakurugenzi ndio wanaoidhinisha vitu kama hivi kwani hupewa 10%.
Aweke kila kitu wazi tu wala asiwe na shaka ya kufukuzwa kazi.
 
Ufisadi ni ufisadi tu hata kama umefanyika eneo Dogo!! Haya ya kulea mambo madogo ndio yametufikisha hapa, hii ni kama dhambi hakuna dhambi kubwa na ndogo zote sawa tu
NMB ina matawi kila kona hapa nchini, sasa unaitaje kashfa nzito kwa ishu ya kaeneo kamoja ambapo sioni kama inaathiri sera za benki kwa namna yoyote. Au na wewe ulikuwa unakula kwa wajerumani? Kwa udogo WA suala hili sioni kama ni kashfa nzito
 
Kwani NMB wanafanya kazi kienyeji hivyo? Mtu mmoja anaweza kutoa tenda halafu mwingine akaja kuwafukuza waliopewa tenda?

Was it a pilot program? na kama ni pilot mtu mmoja anaweza luidhinisha kweli watu wafunge mitambo kwenye ATM? umefanya vizuri kuleta huu ujumbe ila bado nina maswali mengi kuliko majibu

There's lots to be revealed.
NMB wameanza kuchoka. Maadamu JPM kesha agiza fedha zote ziende BOT, very soon tutapata picha ya kinachoendelea ndani ya Bank hiyo yenye kujinasibu kuwa Benki ya Wanyonge.
 
Ni Sawa kabisa usemalo ni 30% from 51% unajua 21% Nani anamiliki na Nani decision maker??
Rebobank wana 34.9.......dse wana 21.....NICOL wana 6.....Exim wana 5....na TCCIA wana moja points kadhaa....so mpaka hapo utakua umepata picha nan ni decision maker wakubwa... Kujazia mwenyeketi wa board anateuliwa na Serikali so nadhan majibu unayo tayari mkuu
 
NMB basi tu yani, ila ni benki ya hovyo sana.
 
Share kiasi gani kiongozi?

Sijui iko Update kiasi gani mpka mwaka huu 2016 .



National Microfinance Bank PLC (NMB) - Home
UrlAdvisorSuspiciousImage.png

CLOSE TO YOU

National Microfinance Bank PLC is Tanzania’s leading retail bank, both in customer base and branch network. With over 2 million customers, over 175 branches and over 600 ATM’s, NMB has a footprint in more than 95% of Tanzania's districts.

NMB serves individuals, micro and small enterprises as well as larger businesses. NMB is listed at the Dar Es Salaam Stock Exchange. NMB’s largest shareholders are its strategic partners Rabobank with a 34.9% share and the Government of Tanzania with a 31.9% share.
 
NMB ina matawi kila kona hapa nchini, sasa unaitaje kashfa nzito kwa ishu ya kaeneo kamoja ambapo sioni kama inaathiri sera za benki kwa namna yoyote. Au na wewe ulikuwa unakula kwa wajerumani? Kwa udogo WA suala hili sioni kama ni kashfa nzito


Ni nzito kwa maana kwamba Teknolojia yake inaonyesha ni imara na haitoi mwanya wa upigaji kwa njia ya service au Matengenezo ya mara kwa mara. Hapa Mjini banah watu wanoishi kwa madili hayo. Unafunga kifaa leo miezi mitatu eti umeme hauaminiki hivyo kifaa kimeungua tuaagiza kingine (Monie)
 
Mkuu karibu kwenye TANZANIA HALISI, HIYO SIO KASHFA NZITO KWA KIWANGO CHA TANZANIA YA LEO, HIYO NDIO ORDER OF THE DAY WAZUNGU WANASEMA, HALI hiyo ipo karibu kila Idara ya umma na hata ZA mashirika na makampuni ya kigeni yaliyowapa nafasi WATANZANIA, MTANZANIA WA LEO HAJUI MAISHA ZAIDI YA KUIBIA UMMA( Kupiga Dili) AU KUMUIBIA MUAJIRI WAKE, UBINAFSI, CHOYO, RUSHWA NDIO UTAMADUNI WETU WA KAZI WA KILA LEO, HAKUNA CCM WALA MPINZANI, HAKUNA MKRISTO WALA MUISLAM WOTE TUMO KWENYE WIZI NA RUSHWA.
HALAFU KICHEKESHO ETI TUNATAKA MABADILIKO WAKATI WENYEWE HATUTAKI KUBADILIKA.
 
Ujumbe umefika.ondoa shaka suala hili litafanyiwa kazi.
 
Mkuu sasa umesema una ka biashara pale karibu na ATM, afu ijumaa uliwahi kutoka nadhani hapo identity yako umeshaianika
 
Hapa Makao Makuu NMB wasipochukua hatua kwenye hili suala basi NMB itapasuka vipande vipande, Kuna mtu hapahapa TZ anawaona ujue!!
 
Hili ni tatizo kweli Mkuu hapa umelileta sehemu sahihi linawafikia NMB NUSU INIFANYE NILALE NJE nilifika usiku mbeya zunguka Atm zote hazina pesa ninapoona huu ujinga ukiendelea masikitiko sana NMB BAHATI YENU NI BANK YA UMMA
kuna wakati hakuna haja ya ATM, Tumieni SimBanking
 
Back
Top Bottom