Ruangwa, Lindi, Nanjilinji, Kilwa, Tunduru , Nachingwea ni Choka mbaya mara mia niishi Singidani au Masasi why sijasema Mtwara kubaya au Masasi coz kunamzunguko ila apo
Ukweli mchungu Ruangwa ni jehanamu ndogo unaongolea rami kuwekw



mwaka wa tano huu porojo tu eti ohh barabara ina daraja nyingi..
Aya sema hapa Ruangwa ina vituo vingapi vya mafuta maana ni wilaya iyo.
Ruangwa ina supermaket ngapi, kampuni za mabasi yanayokuja na kurudu dar, kuna bakery hapo, bank ipo NMB na CRDB tofauti na izo zipo nyingine?
Unasema kuna shule za sekondari advance zaidi ya tano zitaje hapa.
Tunaomba taarifa ya mapato ya wilaya yako tuilinganishe ata na Tabora.
Wilaya nzima utatafuta kajisehemu kakupoa kula ata Pizza hakuna, watu wanakalia majungu tu.
Kwanini Maambukizi ya HIV yapo juu maana wamwela wanapenda kudinyana, uongo, majungu, ujuaji kufatilia maisha ya watu.
Apo karibu na mahakama kuna bar bondeni nlikua nakaa apo sana na mkuu wa mkoa na Mkurugenzi bro Ruangwa hakuna Fursa, utaanzisha kitu kitakufa au unataka nikupe mfano wa project nlizo anzisha zikafa?
Apo kama unaenda halmashauri si kuna fremu mpya mbona biashara zinafungwa?
Nimezunguka vijiji vyote Ruangwa maana kazi yangu ilikua inahusisha field sana, shule zote, ofisi za vijiji, zaanati nimezunguka apo Ruangwa mpka lindi mjini ni hoehae, Kilwa kisiwani, kilwa masoko na kivinje kote Elimu hakuna kusini zaidi ya porojo na udini sana plus umwinyi nyie mtu akifanikiwa mnahamia wote kwake.