Karibuni Ruangwa

Karibuni Ruangwa

Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.

Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu, mimi naishi Ruangwa na nipo exposed na dunia sana tu
 
1. Sasa hivi ni 2022, ninaishi Ruangwa na kama ulikuwa unatumia maji ya kwenye kisima kwa kuvuta na kamba basi wewe mwenyewe ulikuwa masikini, ugumu wa maisha yako alafu unasingizia Ruangwa. Ungedrill basi, ardhi ina maji tele. Halafu kwa wiki maji yanatoka hadi mara nne, hiyo ya mara moja kwa wiki, sijui ulikuwa unaishi Ruangwa gani mkuu
2. Unasema umezunguka wilaya nzima hujapata mkate, uongo wa waziwazi
Mimi ukinipa hela nikatafute mkate, dakika tano nyingi nakuletea. Tena sasahivi kuna supermarket(Mini). Shida wewe ni mvivu mkuu
3. Uliishi Ruangwa ukaona fursa mbili tu kilimo cha korosho na ufuta, basi. Hapo ndipo unaponiacha hoi, hujawahi sikia kuhusu madini hata siku moja, na unajihesabiha kuwa umewahi kuishi Ruangwa, kweli? Watu wanaanzisha biashara, PS stations, bars, restaurants, Hoteli, lodges na wanatajirika. Wewe umezubaa tu unasingizia shida ni flow of money, uliza wachaga wanaokaa Ruangwa wakuambie jinsi kulivyo na fursa
4. Barabara ya Nanganga to Ruangwa inajengwa kwa kasi. Sasahivi Ruangwa mjini hakuna mtaa usio na lami, sio lami tu kuna taa za barabarani kabisa. Lodge sasahivi zipo nyingi, restaurants ndo usiseme. Bado siku chache tu Hamissa Mobeto na Christian Bella watahudhuria uzinduzi wa hoteli ya kisasa ya Pride hotel, ambayo ina swimming pool, kila kitu.
5. Kuhusu majungu na fitina za wamwera, basi hao ni wamwera ulioishi nao wewe. Mimi naishi na Wamwera. Wamwera ni watu wema sema tu inaonekana wewe ulikuwa mkorofi sana.
6.
7. Kuhusu mapato ya wilaya mi sijui, sema wewe ishi tu maana mambo mengine hayakuhusu. Pambania maisha yako
Kwa elimu sasa Ruangwa inakuja kwa kasi. Shule ya Advance sio moja tu kama unavyodai, zinafika hadi sita. Na bado kujumlisha madarasa ya Samia, na kuna ujenzi wa madarasa ya maghorofa Shule ya msingi Ruangwa, etc
Usimwite muongo, yeye ameelezea uzoefu wake kipindi ameishi miaka ya nyuma. Kama sasa ivi kumebadikika haimaanishi haikuwa na hali hiyo aliyosema. Ila tu amenikera anafikiri nyakati hazibadiliki yaaani amekariri rwanga ni ileile. Mm miaka ya 2012 nilienda rwanga kwenye msiba tukawa tunatafuta loji ya kulala asee tulikosa. Lkn najua saivi kutakiwa kumebadilika sana
 
Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.

Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.

#MaendeleoHayanaChama

Bro Rungwa hakuna La maan, kusini maendeleo ni 0
 
Ili swali waulize wazawa why wanakimbilia umachinga Dar na maeneo mengine
Mkuu utajaribu kutetea hoja yako ila utashindwa tu, maana nimeumbua uongo wako wote ulioandika na huna hoja ya maana sasahivi... utaishia kusema hivyohivyo mara maendeleo zero, mara wamepakimbia ila huna lolote.
Kila kabila lipo Dar, halafu uwepo wa watu wa Kusini huko Dar wewe unasema wamepakimbia... mkuu niamini, kujitetea kwa muongo aliyeumbuliwa ni kazi ngumu sana
Message Sent
 
Mkuu utajaribu kutetea hoja yako ila utashindwa tu, maana nimeumbua uongo wako wote ulioandika na huna hoja ya maana sasahivi... utaishia kusema hivyohivyo mara maendeleo zero, mara wamepakimbia ila huna lolote.
Kila kabila lipo Dar, halafu uwepo wa watu wa Kusini huko Dar wewe unasema wamepakimbia... mkuu niamini, kujitetea kwa muongo aliyeumbuliwa ni kazi ngumu sana
Message Sent
Anatapatapa.... hawa ndo wale akisikia stori tu basi anakariri hivyohivyo na yeye anaipeleka kwingine

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Dunia ipi hiyo ya wamwera?au upo hapo mgodini namungo?

#MaendeleoHayanaChama
No no no no no, sipo mgodini, Big NO
Naomba tu uniambie mtu ambaye hayuko exposed na dunia vitu gani huwa anakosa, maana nilikuwa sijui kama kutokuwa exposed na dunia maana yake ni kuishi na Wamwera Mkuu una akili fupi sana

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Ruangwa, Lindi, Nanjilinji, Kilwa, Tunduru , Nachingwea ni Choka mbaya mara mia niishi Singidani au Masasi why sijasema Mtwara kubaya au Masasi coz kunamzunguko ila apo

Ukweli mchungu Ruangwa ni jehanamu ndogo unaongolea rami kuwekw mwaka wa tano huu porojo tu eti ohh barabara ina daraja nyingi..

Aya sema hapa Ruangwa ina vituo vingapi vya mafuta maana ni wilaya iyo.

Ruangwa ina supermaket ngapi, kampuni za mabasi yanayokuja na kurudu dar, kuna bakery hapo, bank ipo NMB na CRDB tofauti na izo zipo nyingine?

Unasema kuna shule za sekondari advance zaidi ya tano zitaje hapa.

Tunaomba taarifa ya mapato ya wilaya yako tuilinganishe ata na Tabora.


Wilaya nzima utatafuta kajisehemu kakupoa kula ata Pizza hakuna, watu wanakalia majungu tu.

Kwanini Maambukizi ya HIV yapo juu maana wamwela wanapenda kudinyana, uongo, majungu, ujuaji kufatilia maisha ya watu.

Apo karibu na mahakama kuna bar bondeni nlikua nakaa apo sana na mkuu wa mkoa na Mkurugenzi bro Ruangwa hakuna Fursa, utaanzisha kitu kitakufa au unataka nikupe mfano wa project nlizo anzisha zikafa?

Apo kama unaenda halmashauri si kuna fremu mpya mbona biashara zinafungwa?

Nimezunguka vijiji vyote Ruangwa maana kazi yangu ilikua inahusisha field sana, shule zote, ofisi za vijiji, zaanati nimezunguka apo Ruangwa mpka lindi mjini ni hoehae, Kilwa kisiwani, kilwa masoko na kivinje kote Elimu hakuna kusini zaidi ya porojo na udini sana plus umwinyi nyie mtu akifanikiwa mnahamia wote kwake.
Ingawa sipajui huko Ruangwa,ila huu mwandiko umeambatana na chuki.

Mkuu,km unetembelea sehemu nyingi hapa Tz utagundua maisha ya watanzania yanafanana Sana,yes tofauti zipo ila Ni ndogo Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.

Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hili nalo Ni tatizo la mtazamo wako.

Hapa Tz karibia kila mkoa watu wake wamejazana Sana tu,mfano wachaga wamejaa Sana kimara,nao tuseme wamepakimbia Kilimanjaro kisa huko hakuna cha maana?

Alafu Kumbuka Lindi ipo karibu na dsm so mtu wa Lindi Ni rahisi kuja Dar kutafuta maisha maana Ni mji mkubwa,na miji mikubwa duniani kote watu hukimbilia huko hasa vijana ili kujikwamua na maisha.

Na ukisema kusini Kuna fursa ya mazao tu,hivi Tanzania hii ukiondoa mini mikubwa kama dsm,Arusha(utalii) na Mwanza biashara,miji iliyobaki Kama Moro,Iringa,Lindi,mtwara nk,nje na kilimo Kuna fursa gani zingine za maana? Tena ni Mara kumi Lindi na mtwara Kuna kilimo Cha mazao mengi mfn,msimu wa mbaazi,wa korosho,wa kunde na choroko,wa mahindi na mpunga,wa maembe (Sasa hivi embe za kusini zimejaa Dar),ambapo inapelekea angalau mzunguko wa fedha unakuwepo kulinganisha na mikoa yenye kutegemea zao moja Kama ndizi!!? Na ndiyo maana si ajabu kuona Lindi na mtwara zipo top ten mwezi huu December ya gdp per capital. Pesa angalau inakutana misimu ya mazao ipo mingi kulinganisha na mikoa/maeneo mengine.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hili nalo Ni tatizo la mtazamo wako.

Hapa Tz karibia kila mkoa watu wake wamejazana Sana tu,mfano wachaga wamejaa Sana kimara,nao tuseme wamepakimbia Kilimanjaro kisa huko hakuna cha maana?

Alafu Kumbuka Lindi ipo karibu na dsm so mtu wa Lindi Ni rahisi kuja Dar kutafuta maisha maana Ni mji mkubwa,na miji mikubwa duniani kote watu hukimbilia huko hasa vijana ili kujikwamua na maisha.

Na ukisema kusini Kuna fursa ya mazao tu,hivi Tanzania hii ukiondoa mini mikubwa kama dsm,Arusha(utalii) na Mwanza biashara,miji iliyobaki Kama Moro,Iringa,Lindi,mtwara nk,nje na kilimo Kuna fursa gani zingine za maana? Tena ni Mara kumi Lindi na mtwara Kuna kilimo Cha mazao mengi mfn,msimu wa mbaazi,wa korosho,wa kunde na choroko,wa mahindi na mpunga,wa maembe (Sasa hivi embe za kusini zimejaa Dar),ambapo inapelekea angalau mzunguko wa fedha unakuwepo kulinganisha na mikoa yenye kutegemea zao moja Kama ndizi!!? Na ndiyo maana si ajabu kuona Lindi na mtwara zipo top ten mwezi huu December ya gdp per capital. Pesa angalau inakutana misimu ya mazao ipo mingi kulinganisha na mikoa/maeneo mengine.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu, umeeleza vizuri sana
Pengine wewe atakuelewa
 
Bro Rungwa hakuna La maan, kusini maendeleo ni 0
Unatokea mkoa gani wewe nikuchambulie?
Kama ni huko Magharibu mwa nchi au kanda ya ziwa hakuna jipya huko zaidi ya ushamba,mauaji..
Screenshot_20221214-204749.jpg
 
Ili swali waulize wazawa why wanakimbilia umachinga Dar na maeneo mengine
Hivi kuhama sehemu moja na kwenda kujitafutia sehemu nyingine ni kosa?
huna elimu wewe kima,Waha na wachaga wamekua wakihama makilomita kwenda kwenye mikoa yenya fursa.Shida ipo wapi hapo!!
 
So we umeona hii ni agenda kubwa?

Maajabu ni hoteli kujengwa na mkulima tena kijijini uko ila haibadilishi maana kuwa Ruangwa na Kijijini kuliko sahaulika
 
So we umeona hii ni agenda kubwa?

Maajabu ni hoteli kujengwa na mkulima tena kijijini uko ila haibadilishi maana kuwa Ruangwa na Kijijini kuliko sahaulika
We ulitaka wilaya iweje? Iwe na malls, supermarkets, hoteli za nyota tano au
Hiyo hoteli niliyotuma hapo ni kuumbua hoja yako ya kwamba wilaya nzima utatafuta sehemu ya kupoa hakuna. Sasa nimekuwekea hiyo uone, najua umejisikia vibaya baada ya kuiona hiyo hoteli sema basi tu
Kwa jinsi ulivyokuwa unaiponda Ruangwa haikuonekana kuwa Ruangwa ni sehemu ambayo ingeweza kuwa na hoteli kama hiyo, sasa hivi nakuonesha picha za hoteli unasema siyo ajenda kubwa.... mbona sasa ulisema hakuna sehemu za kupoa?
Nikikuambia akili zako fupi utanikatalia mkuu. Shida umeishi Ruangwa miaka ya tisini
 
Back
Top Bottom