Karibuni Ruangwa

Karibuni Ruangwa

We ulitaka wilaya iweje? Iwe na malls, supermarkets, hoteli za nyota tano au
Hiyo hoteli niliyotuma hapo ni kuumbua hoja yako ya kwamba wilaya nzima utatafuta sehemu ya kupoa hakuna. Sasa nimekuwekea hiyo uone, najua umejisikia vibaya baada ya kuiona hiyo hoteli sema basi tu
Kwa jinsi ulivyokuwa unaiponda Ruangwa haikuonekana kuwa Ruangwa ni sehemu ambayo ingeweza kuwa na hoteli kama hiyo, sasa hivi nakuonesha picha za hoteli unasema siyo ajenda kubwa.... mbona sasa ulisema hakuna sehemu za kupoa?
Nikikuambia akili zako fupi utanikatalia mkuu. Shida umeishi Ruangwa miaka ya tisini

Siwezi bishana na wewe mtu wa kusini usie na exposure yoyote endelea kupigwa na vumbi uko
 
Siwezi bishana na wewe mtu wa kusini usie na exposure yoyote endelea kupigwa na vumbi uko
Nimeshakera mtu tayari JF raha sana
Karibu Ruangwa mkuu
Screenshot_20230101-170825.jpg
Screenshot_20230101-170808.jpg
Screenshot_20230101-170750.jpg
Screenshot_20230101-170730.jpg
Screenshot_20230101-170711.jpg
Screenshot_20230101-170558.jpg
 
Upendeleo kivipi boss kwani hao wawekezaji wameshikiwa bunduki kwamba wasiende kwingine!? Mwambie Mbunge wako ajitahidi kuwavutia watamuelewa tu wala hakuna uchawi katika hili
kwetu tarime fursa ni nyingi, tunamshukuru Mungu. mbunge hana mchango wowote
 
Back
Top Bottom