Nkingwamh
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 290
- 210
- Thread starter
- #321
Habari louis11kwanza Pole kwa majukumu mkuu
Kuna mshkaji wangu ana tatizo la maumivu ya kende pamoja na maumivu ya tumbo chini ya kitovu sometimes anashindwa hata kusimama straight...pia anadai kuna muda uume wake unauma kana kwamba kuna kitu chenye ncha kali kinachomchoma....tusaidie hapo mkuu pengine utufahamishe nini tatizo kwa viashiria hivyo
Naomba nikuulize je upande wa mkojo anakojoa vizuri?