Mimi ni me mkuu umri 28Okyo naomba pia nikutambue jinsia yako pamoja na umri tafadhali!
Kuna mtu alienda kupima haja kubwa....Dr akamwambia ana bacteria ambao wakikomaa ataharisha damu.Kama kichwa kinavyosema hapo nakaribisha maswali yanayohusu afya
Habari bwana mushi92Kuna mtu alienda kupima haja kubwa....Dr akamwambia ana bacteria ambao wakikomaa ataharisha damu.
Swali lipo hapa .......hao bacteria ni Wa aina gani,? Na wanaingiaje?
Natanguliza shukran
Asante kwa majibuHabari bwana mushi92
Ni kwamba kuna bacteria wenye asili ya aina mbili ambao wanaosababisha kuhara na kuhara damu ambao ni Bacillus wa kundi la shigella na maambukizi ya amoeba, Entamoeba histolytica.
Bacteria hii kuingia mwilini kwa utovu wa usafi, kupitia vyakula chafu matunda isiooshwa kuto osha mikono na uchafu wa vyombo.
MAAMBUKIZI:
Mtu hupata maambukizi na kua mgonjwa wa hii baada ya kunywa au kula chakula iliochanganika na bacterial.
Baada ya kuingia mwilini bacteria hii hukimbilia kwenye utumbo mdogo, ambako huzaliana.
Wakiwa wengi huhamasishana kuhamia kwenye utumbo mkubwa na kuanza kushambulia mwili.
Wakikua huanza kuishi kwenye kinyesi ya binadamu kisha hutolewa kwa njia ya haja kubwa.
Na kuenda kuishi katika aridhi kwa muda wa wiki 4.
Kipindi hii ya kuishi katika ardhi, hapo ile binadamu chafu inayoshika ama kuchezea udongo bila kunawa, huichukua bacterial hii bila yeye kujua hadi mdomoni,
Au kama itaanguka tunda mahali hii na ikaachwa bila kuoshwa. Na binadamu kuja kula tunda hiyo. Bacterial hii kuingia mdomoni.
Na ikiingia mdomoni hua ni ambukizo mpya. Na kwenda kukaa kwenye utumbo ndogo.baadae utumbo kubwa. Mtandao huo wa maambukizi kama isipochukuliwa tahadhari utaendelea hivyo na kuambukiza watu wengi zaidi.
Mushi92 hata wewe chukua tahadhari kwa kua umetambua hatari hii. Asante.
Habari ndugu iskhathHabari Dk.
Nasumbuliwa na masikio kwa muda mrefu
Yanavuma na wakati mwingine kuuma
Help me pls
Wataalam wenu wanapatikana wapi?Habari ndugu iskhath
Muundo wa sikio ilivyoundwa wa lile umbo lake la konokono sio rahisi kuchota sauti za upepo.
Ukaona unapata miungurumo tambua sikio yako linachota sauti za upepo.
Na ukiona hivyo ujue kuna kitu hakiposawa ndani ya sikio, kwa maana kimeacha nafasi Fulani wazi kiasi ambacho sauti za upepo zina penya.
Kwaupande wako wewe kwa kua unasema na hua ukipata maumivu, basi jibu ni hilo kua sehemu ya kati kutakua na tatizo.
Ushauri wangu kwako ningependa ufike hospitali haraka ukaonane na wataalam wetu wa masikio.
Pale kuna uchunguzi utafanyiwa ikiwa ni pamoja na kuulizwa maswali machache yenye historian ya ajali.
Asante
Kwa mkoa unayoishi wewe fika kwenye hospitali ya mkoa. Kisha ukifika mapokezi.Wataalam wenu wanapatikana wapi?
Maana hawa wataalam wadogo wameshindwa kutatua tatizo Dk.
Hahahahaha asante doctor nimependa hapo tu EPUKA KUNYONYA ULIMI USIO WAKO.Habari mirinji
1 kua makini na dawa za antibiotic hasa matumizi yaambatane na maelekezo kutoka kwa mtaalam wa afya
2 kua makini na baadhi ya dawa za meno zisikimbize kinga katika mate( lisozimy)
3 epuka pombe
4 acha tabia ya kunyonya Ulimi ambao sio wako
Hizo hapo ndo dawa halisi ndugu
Asante
Habari bwana best 1 boyKua hapo awali nilikua ninasumbuliwa na ngiri maji tangu mtoto kabisa nilipelekwa hospitali na kufanyika small surgery mbili ilaa baada ya miaka kadhaa shida ambayo napata tena kuwa nina ulcers mana tumbo linajaa gesi na pia choo napata kama cha mbuzi na pia performance ya kitandani ndogo sana pia haka kadudu (kiba100) changu mda mwingine kinakuwa kidogo hatari kama mtoto mchanga. ..
Dawa za hospitali nimetumia sana bila ya mafanikio aiseee..
Okay....nimeelewa je kama ntaenda hospitali wakinifanyia surgery je size itaongeze na kuhusu tumbo ntumie dawa gani mkuuHabari bwana best 1 boy
Kwakua umesema ulishawahi karabatiwa eneo hiyo, na kwakua ilipata tatizo hiyo ukiwa bado iko mdogo.
All and most nisemetu wakati kama hiyo bado maungo mbalimbali Inakua inaendelea kukua.
Inawezekana kwa bahati mbayatu ya ufundi inaweza kutokea kuibana space ya baadhi ya mishipa hivyo kupelekea mabadiriko hayo.
Mi nimekua na mashaka ya vitu kama hii imeharibiwa wakati ya surgery.
1 Corpus Spongiosum
2 Vas deferens L and R
3 Epididymis L and R
Lakini hasa shida kubwa iko Vas deferens L and R hizi baada ya surgery itakua zilipangwa tofauti, kwa kujisahau kua binadamu inayoshurikiwa inaendelea kukua tena baada ya surgery.
Vas deferens L and R zimebana Corpus Cavernosum kwa kuinyima nafasi ndo mana imekuja jibu hiyo ya kua ndogo dudu yako.
Jambo ingine epididymis L and R imebanwa sana imekua myembamba so nalazimika kushindwa kupitisha sperm kwenda kuchanganya na semen kutokana na uzito yake ndo mana imekuja jibu hiyo ya kua na performances ndogo kwa Mpenzi yako wakati ya faragha ya kitanda.
Pole sana tiba yako wewe Rudi hospital kaeleze shida yako na ueleze kua kule nyuma ya miaka yako ilisha Fanya kupasuliwa.Naimani utasaidiwa.
Kuhusu shida ya choo mbuzizi, si kweli kama utakua na vidonda ya tumbo, Bali hapo itakua shida ni stomach layer.
Ambayo ile sehemu ya mwanzo ndani ya stomach hua kuna tishu nyepesi. Kazi ya tishu hii hua ni kuzuia madhara ya ya acidi ilioko tumboni ili isije ikaunguza au kuharibu fuko hilo.
Pia kazi nyingine ni kuzibiti upotevu wa maji maji ya ndani ya stomach kwa ajili ya kazi za mimeng'enyo.
Stomach layer kama itakua imeharibika au kukosekana ndani ya stomach, maji maji hii itakua ikipungua kutokana na kutokuzibitiwa.
Jibu yake ni kwamba kila hatua inavyofanyika ya mmeng'enyo ndivyo maji yanavyozidi kupungua na mwisho kabisa choo lazima itoke kwa kukatika katika kama mbuzi.
Na ukitaka isikatike basi nawewe baada ya kumaliza kula baada ya masaa mbili hivi chakula uliokua cheua uirudishe mdomoni ikutanae na meno.
tena uanze kutafuna upya kisha umeze. Uendelee hivyo usiku na mchana.
Kwa binadamu itakua kazi ngumu hilo anaweza mbuzi kwakua stomach layer hii yeye hana.
Pia jibu ingine ni kupata kua na gesi kwa kua ile maji inayotakiwa kutoa hewa mbovu( kaboni)haipo tena.
Na kama okside kabonia ya eneo hiyo itazidi kutopata sapoti ya maji kuondoa, basi inaweza kuanza kukimbilia sehemu nyingine, zenye nafasi na kusababisha vichomichomi katika mwili
Ndugu matumaini yang umeelewa.
Asante na karibu tena.
Pole sana ndugu bachelor sugu.Doctor mm nina matatizo ya macho na masikio kwa pamoja,Macho hayaumi,kuwasha,wala tatizo lolote isipokuwa sina uwezo wa kuona clearly hasa kuanzia distance ya mita3.Pia Masikio nayo hayaumi,wala hayajawahi kutoka usaha isipokuwa uwezo wa kusikia umepungua kwa karibu 60% na muda mwingine hasa ninapokuwa nimechoka kwa kusimama sana au kuwa na njaa basi huwa yanavuma na nikiongea huwa najisikia kama mwangwi(echo)unavuma ndani ya masikio.
Matatizo haya yanaambatana na matatizo mengine km
*Kukosa balance ya mwendo
*Sometime baadhi ya viungo kama vile ncha za vidole vya mkononi kuhisi ganzi na ss hv hata mguu wa kulia unaanza kuhisi ganzi
*Mwili kukosa nguvu ya kutosha.
Historia ya nyuma niliwahi kupata tatizo la jino la juu kushoto nilipoenda hospitality nikafanyiwa RCT(Root Canal Termination) but baada ya miezi 2 jino lile lilianza kulika na jingine la upande wa juu kulia nalo likaanza kuuma sana hivyo nikamwambia doctor ayang'oe yote mawili.Baada ya miezi 6 kupita hali hii ya kutokuona na kutosikia ikatokea ghafla tena kwa pamoja na Leo hii ni takribani miaka 7 toka nipate hali hii.Nimeenda hospitali mbalimbali kwa nyakati tofauti tofauti lakini Madaktari wamekuwa wakiniambia kuwa nina OPTIC NEOROPATHY ila bahati mbaya hawajawahi kunipima kipimo chochote kama MRI ili kujiridhisha kama tatizo hilo wanalodai linavyotakiwa kupimwa na siku zote wamenipa dawa za nutrition Km vile NEUROTON,NEOURO SUPPORT,NEOROBION FORTE ambazo hazijaweza kunisaidia.Tafadhali msaada wako na ushauri
umri 24 mwembamba anasoma chuoIna umri gani ya nyuma rafiki yako. na anashuguri gani pia na muonekano yake ya mwili ikoje. Mnene/nyembamba/wastani!