bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,651
Docta please ushauri wako hapa.Nashukuru sana Doctor kwa ushauri wako ila naomba kuuliza nitumie mbinu gani ili kuweza kupata rufaa maana daktari anayenishughulikia katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa morogoro hataki kuniandikia rufaa ili niweze kwenda kufanyiwa MRI test akidai kuwa tatizo langu halina haja ya kufanyiwa MRI eti kuwa niendelee kutumia dawa anazonipa ambazo ni NEURO SUPPORT na EYE SUPPORT.Nang'ang'ania kupata rufaa kwa sababu za kiutumishi ili nisipoteze haki zangu km mtumishi wa umma.Asante.
[emoji115] [emoji115]