Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,848
- 18,122
Duuh! Bi mkubwa umekuja kwa kasi kuokoa jahazi!Mimba yake itakutesa sana
Duuh! Bi mkubwa umekuja kwa kasi kuokoa jahazi!Mimba yake itakutesa sana
Marehemu angekuwepo mpaka leo chato kungekua na mlima mrefu kuliko yote afrika


umenichekesha sana walah!Ndiyo maana alikuwa anapambana sana Biashara ya Nyama Pori ihalalishwe ili awalishe watalii Hotelini kwake?Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.
Yaan kipindi kile yuko hai nikawa nawasikia watu wanasema chato itakuja kubaki kama ule mji wa mobutu nilikua siamini aseee! Ila sasa nimeamini dunia hadaa walimwengu shujaa! Siamini kama hata wale machawa wake washamsahu na chato ishasahaulika tayar! Hiv zile taa za barabaranzina hali gan? Yaan nataman kufunga safar nikaangalie hali halisi! Nahis limebak kaburi lake tu ndo zuriNi hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Mimba yake itakutesa sana
Alitaka kutumia wale wachina waliohamisha magorofa waje kuhamisha huo mlima waupeleke chato. ( Eti sio lazima Ile utalii uliozoeleka wa kaskazini tu hata kwingineko wazoee)Marehemu angekuwepo mpaka leo chato kungekua na mlima mrefu kuliko yote afrika
Mwendazake huja na kukaa hapo kupunga upepoView attachment 2008191
Hicho ki veranda kwenye duara ni cha kazi gani?
JS Hotel ni za Hayati.Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Anapita wapi kufika hapo?Mwendazake huja na kukaa hapo kupunga upepo
Ziko ngap?JS Hotel ni za Hayati.
Injinia mwitu anajenga hoteli anaweka hako kaveranda na hakuna hata mlango sijui kamekaa kufanya nini hapo juu ya mlango???? Kweli J alikuwa mwehu sana.Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Acheni kunitafuta, vifaa vyote vilivyotumika kujenga ni vya hapahapa Tanzania, wanyama ni wetu sote na hela za kujengea ni za ndani* sasa shida iko wapi!Ni hoteli ya kisasa ambapo mtalii unaweza kujionea wanyama mbalimbali kama swala pala, zebra , nyumbu ngiri na jamii ya wanyama wengi wala majani.
Ipo katika eneo lenye takribani hekta 1200.
N:B msiniulize mmiliki ni nani maana simjuwi.View attachment 2008177View attachment 2008178View attachment 2008179View attachment 2008180
Alitaka kutumia wale wachina waliohamisha magorofa waje kuhamisha huo mlima waupeleke chato. ( Eti sio lazima Ile utalii uliozoeleka wa kaskazini tu hata kwingineko wazoee)
Utadhani Kama huyo mtalii akija huko kaskazini Kama sio Tanzania Bali ni Kenya.
Yaani jamaa kwa hapa sikumbali Ila yapo mengi nilimkubali sana
Bado miaka michache huo mlima barafu inaisha. Tuone sasa mtakacholingia. Mlima mlima ! Hadi mnakera. Chato ni wilayani na pataendelea kuwa mji na huenda iko siku itaizidi Moshi ambayo imedumaaa na ardhi hakuna.
Sasa mbona unatufokea mkuu kwanini sisi ndio tumeweka mlima mrefu pale kilimanjaro?Bado miaka michache huo mlima barafu inaisha. Tuone sasa mtakacholingia. Mlima mlima ! Hadi mnakera. Chato ni wilayani na pataendelea kuwa mji na huenda iko siku itaizidi Moshi ambayo imedumaaa na ardhi hakuna.
Ziko 8 mkuu...huyu jamaa alikuwa mpigaji balasZiko ngap?
Watu hawaelewi yule mwarabu loliondo kipindi chake kapeleka wanyama kibao dubai,mpk sasa dubai kuna bonge la zoo na wanyama wetu hawahawa.Mkuu kuanzisha zoo haina shida mtu yeyote anaweza kuanzisha tu bila shida na hao wanyamapori unauziwa kawaida kwa maana utapewa kibali ni biashara rasmi ndani ya Tanzania na kama kuna Mtanzania anahitaji kufanya hii biashara aende Wizara ya Maliasili na Utalii atapewa utaratibu mzima so kuwa Chato au mmiliki katoka wapi sio issue labda useme vibali sio sahihi.