Karibuni Chato Zoo and Hotel

Karibuni Chato Zoo and Hotel

Hizo hotel.mbona za kawaida wala haihitajibkuiba..yaana miaka ya uwaziri wote na ubunge zaidi ya ishirini ndo angeshindwa kujenga kahotel kama hako..Hata mimi inagwa sijafanya kazi serikalini na mishahara yangu kwa mwezi haizidi million 6 nimejenga kama hizo tatu..sasa sembuse magufuri kwa mapato ya haki kabisa angeshindwa kufanya hicho..labda kama angejenga kempsiki ndo tungesema ameiba
Nahiyo zoo hao wanyama kawatoa wapi nyara za serikali hiyo pesa ya kuwanunua kapata wapi?
 
Majizi wenzake mnamtetea
kiukweli kabisa hata ningekuwa mimi sina uhakika kama ningetoka mtupu yaani niline asali na sina matatizo yoyote kisha ninawe mikono bila kulamba hapana kwa kweli.
jamaa hata kama aliiba angalau alikumbuka kuwekeza kwa community ya kwao ambayo kila mtanzania anaweza kuwa na fursa ya kazi na biashara huko sasa kazi kwao kujipanga ili hayo waliyopewa wasigeuke magofu
 
Back
Top Bottom