Karibu tule Ugali na Mandondo

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
260467_157960570943112_100001875104486_355146_1585830_n.jpg
 
Kwetu usukumani mbona tunamaliza hiyo nguna kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kipala cha Babu kinafuka moshi, hilo lazima ni dona na maharage mzee si mchezo limetulia
 
Mimi nimetamani hiyo ya samaki wa nazi mmh njaa inazidi duu na kapilipili mwaa, kanakolea kwa tumbo!!!!!
 
Da! kuonesha msisitizo baada ya mandondo kupakuliwa na sufuria imeletwa kabisaaaaaaaa mle mkijua mboga ndio hiyo hiyo! Jikoni hamna kitu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom