Ha haa, hapo Manara anajitahidi kujifanya mtu maarufu ili akidhania labda yule mke wake atarudi, ukimtizama hana furaha kabisa, ila si wanasema Diamond ndio anamla? Ha haa waswahili husema Kikulacho ki nguoni mwako au adui yako sio wa mbali ni mtu wa karibu yako..Kwa hiyo tufanyaje sasa
Ova
Dada gaidi wewe😅Huku Yanga tuna Nandy, Harmonize, Marioo na kumetulia sasa yeye aje na ustaarabu wake kibindoni.
Nimechekaaa sanaaa had machoziii,Ingekuwa Chama ndio kahamia Utopolo ningesikitika sana. Sio hilo Domokaya lililomtosa baba yake