We Marketer vipi, mbona unatuzingua?..yuko wapi huyo mtu?
Halima Mdee kwani ni nani hasa? Naomba mwongozo tafadhali.
........Katika makubaliano hayo Mbatia amefuta kesi ya uchaguzi dhidi ya Halima Mdee kesi namba 101 ya mwaka 2010..........]
Hakika sasa ninaanza kuboreka!
JFMarketer, inakuwaje huyu mtu bana?...mbona anachuingulia tu hataki kucomment?...au hujamfundisha hata kuweka salamu ya kwanza?...Umetumia nguvu sana kumfanyia Marketing, lakini i see everything going to vain!...huh!
Kwanini Halima Mdee haji kusema lolote kuhusiana na mambo kibao ndani ya chama, hasa zaidi kuhusiana na jimbo la Kawe?
Did we make a wrong choice?