Afadhali.
Mimi nataka bando tu la wiki, chakula na pa kulala vingine vyote nitajitegemea.
Afadhali.
Mimi nataka bando tu la wiki, chakula na pa kulala vingine vyote nitajitegemea.
Bosi nikupe namba kabisa
Itume kwenye namba yangu hapo juu hahahahaha, si umeona nime copy uzi wangu niliotuma natafuta msaidiziBosi nikupe namba kabisa
naskia hata wewe wanakutaftia kaz mrembo.Kampuni hiii duu
Hawa wapo trained hivyo tulionao wapo kikazi zaidi.Nitakuja CathLiv niko tu hapa town, ila ninapoishi ni Buswelu. NItakuja tuyaongee kikubwa, nahitaji msichana lakini masharti yangu asiwe na mapepo, asiwe anachagua vyakula mara mimi sili hiki mara hiki, halafu awe anatumia pork maana hiyo ndio mboga kuu kwangu. Pia sipendi msichana wa kutangatanga kwenye nyumba za watu kutwa nzima, na pia awe msafi yeye mwenyewe na mazingira yote ya nyumba, na mwisho awe na uwezo hata wa kutunza bustani ikae fresh
Nimecopy thread yangu ya mwaka jana ya kutafuta msichana nimeweka hapa kwenye uzi wako ili ujue nataka msichana wa sifa zipi. serious nitakuja huko Bugando leoHawa wapo trained hivyo tulionao wapo kikazi zaidi.
Eneo
Located at Bugando area plot No. 67, Block Z
Reg No. 416087.
na mtaka huyu huyu kwenye picha ndio atafaa kwa malezi ya mwanangu nakupigia mkuuMDADA WA KAZI.
Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* MDADA ambaye ana sifa zifuatazo..
Umri miaka 18 na kuendelea. (katiba)
Ana mafunzo ya mapishi bora.
Malezi ya watoto (Umri 0-17)
Anaelimu ya kuwasaidia wanao homeworks
Anayoelimu ya mazingira na utunzaji wa bustani nyumbani.
Kwa mshahara wa laki moja (T-shirt 100,000)
Kizuri zaidi ni kwamba unaweza kubadilishiwa endapo hujaridhika na utendaji kazi wake pia mkataba upo ili kulinda uaminifu baina ya mteja na kampuni.
Karibu tuwasiliane kwa PIGA:0769321005
AU
SMS/WhatsApp 0769321005.
Email:
auctioneertz@gmail.com au
ramtz@yahoo.com
mkuu tone tu ya tangazo inatoa picha. huuu uzi umetoa utu wa mwanadamu na kuwa kama kifaaUnamtumikisha au ni mgawano wa majukumu? Ukifikia hatua ya kuajiri binadamu wenzako hayo ndo maendeleo, maana yake unagawa kazi.
Hapa mfanyakazi umepata.Itume kwenye namba yangu hapo juu hahahahaha, si umeona nime copy uzi wangu niliotuma natafuta msaidizi