miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
sawa mkuuHiyo ni moja ya kazi waliyofunzwa...
Ni majukumu yao hivyo ni wajibu kutekeleza wajibu
sawa mkuuHiyo ni moja ya kazi waliyofunzwa...
Ni majukumu yao hivyo ni wajibu kutekeleza wajibu
Wapi imeandikwa?Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
amen nawe piaAhsante kwa muda wako Miss.
GOD BLESS
Karibuni sana tupo BUGANDO MWANZA mkabala na kituo cha watoto cha SOSMUNGU awabariki, nililetewa house mate, dah!! Katoto ka dogo nikamkimbiza huyo mama, hadi leo ni miaka 17 sijakuwa na house mate, nitakuja kwa ofisi personal tu negotiate for sure I need some one to take care in my home.
Nitakuja ili tuyapange hasa price, kuna punguzo maana mie nina kachumba na sebule, niko peke yangu sina mtoto wala mume. kazi kubwa ni kunipikia na ulinzi wa vijimali vyangu tu mfano, majiko ya mkaa na ndoo za maji. Kuna punguzo kidogo?BUGANDO mkabala na kituo cha watoto cha SOS
karibu pia unaweza kunipigia ukifika 0769321005Nitakuja ili tuyapange hasa price, kuna punguzo maana mie nina kachumba na sebule, niko peke yangu sina mtoto wala mume. kazi kubwa ni kunipikia na ulinzi wa vijimali vyangu tu mfano, majiko ya mkaa na ndoo za maji. Kuna punguzo kidogo?
Nitakuja CathLiv niko tu hapa town, ila ninapoishi ni Buswelu. NItakuja tuyaongee kikubwa, nahitaji msichana lakini masharti yangu asiwe na mapepo, asiwe anachagua vyakula mara mimi sili hiki mara hiki, halafu awe anatumia pork maana hiyo ndio mboga kuu kwangu. Pia sipendi msichana wa kutangatanga kwenye nyumba za watu kutwa nzima, na pia awe msafi yeye mwenyewe na mazingira yote ya nyumba, na mwisho awe na uwezo hata wa kutunza bustani ikae freshkaribu pia unaweza kunipigia ukifika 0769321005
Karibu kwangu Castr, unapendekeza mshahara kiasi gani? hahahahaMa houseboy hatuna soko kabisa.
Unamtumikisha au ni mgawano wa majukumu? Ukifikia hatua ya kuajiri binadamu wenzako hayo ndo maendeleo, maana yake unagawa kazi.Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
Afadhali.Karibu kwangu Castr, unapendekeza mshahara kiasi gani? hahahaha