I will.ha haa. ni utamaduni uliozoeleka ila kama ni passion yako utafanya vizuri na siku zote changamoto walio wepesi huifanya kuwa fursa.
Follow your dream.
Never give up ndugu yangu life is very serious
TUMIA AKILI.Toooba! biashara ya utumwa imerudi. Kumbe ndio nyie mnaowauza mahouse girl na kujipatia fedha zisizo halali. Tena mbaya zaidi mmekuwa mkiwalaghai na kuwatoa nyumba moja na kwenda kuwauza nyumba nyingine. Tumewastukia dawa yenu iko jikoni.
Nina maana kuandika hivi, kuna makampuni yamewaumiza sana watu......
What is Human Trafficking?Kwani wewe si mwajiriwa?
Acha uzamani.
Rudia thread
Naona wewe mwenyewe unaandika tu majibu unayo kumbe.What is Human Trafficking?
Article 3, paragraph (a) of the Protocol to Prevent, Suppress and Punish Trafficking in Persons defines Trafficking in Persons as the recruitment, transportation, transfer, harbouring or receipt of persons, by means of the threat or use of force or other forms of coercion, of abduction, of fraud, of deception, of the abuse of power or of a position of vulnerability or of the giving or receiving of payments or benefits to achieve the consent of a person having control over another person, for the purpose of exploitation. Exploitation shall include, at a minimum, the exploitation of the prostitution of others or other forms of sexual exploitation, forced labour or services, slavery or practices similar to slavery, servitude or the removal of organs
mkataba utamlinda vipi msichana anayeishi na mkaka, wawili tu ndani ya nyumba?????Inawezekana sana.
Endapo kutakuwa na utofauti mkataba utatulinda.
Karibu 0769321005
Hapo sasa, yaani kwenye matangazo sielewi kwanini hivi vitu muhimu tunavisahau, kuanzia saloon za kike za kiume, madukani, kila sehemu..Mbona hujaandika jina la kampuni, anuani ya kampuni yaani location ya ofisi zenu na namba ya kusajiliwa!?
Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
Haya mambo ya watumishi wa ndani yanatakiwa yawe formal, ikiwezekana hata mambo ya usajili, kujulikana na kulipwa kama mfanyakazi wa kawaida wa kima cha chini, walipe kodi na kulipwa stahiki zao zote kuanzia NHIF, NSSF n.k.MDADA WA KAZI.
Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* MDADA ambaye ana sifa zifuatazo..
Hizi biashara zipo duniani kote, hasa zilizoendelea, hongereni, ila badilisheni kidogo iwe kampuni kabisa na ma staff wenu wanalipa kodi, nawo walipwe stahiki zote kisheria, wenye uwezo watakuja, wale wa alfu 30 hawawafai kabisa..MDADA WA KAZI. Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* MDADA ambaye ana sifa zifuatazo..