Ok, tunashukuru kwa huduma, ila hao maid unaosema ni wazunguu? coz logo inajieleza. Yale mafundisho/mahubiri ya NABII TITO nayo mnayazingatia?
Tena nimeongeza 5000 huwa mnawapa 35000tu!leta ushahidi.
nonsense
Kufanya kazi ni kutumikishwa? We hufanyi kazi?Aisee katika vitu ambavyo huwa navipinga katika maisha yangu ni Kumchukua binadamu wenzako na kumtumikishakama punda.Hii nimechukia zaidi baada ya kuona hadi wanakodishwa
Kuiba mume au vitu vya ndani?wakituibia mfano kampuni inalipa?
vyoteKuiba mume au vitu vya ndani?