Mbuzi Mzee
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 348
- 85
Poleni wadau wa MMU,
Nimeona vema kuanzisha uzi huu ili wewe unaempenda mtu flani humu jukwaani ushushe nondo zako hapa kiroho safi kabisa mweleze hadharani kuonyesha jinsi unavyomkubali si unajua tupo karne ya ukweli na uwazi so we njoo jimwage hapa.
LOVE PIN CODE ni sehemu ya wapendanao wanao taka kuanzisha mausiano thabiti kabisa,hapa ni sehemu ya kuunganisha CODE zenu ili kuweza kufungua milango ya mioyo yenu na kuimalisha mausiano yenu.
Kutokana na maoni ya wasomaji kuhitaji kujua wangapi wapo singo na walio double,hivyo kama hutajali katika komenti yako weka status yako mwisho kama upo single,kama unaona haiko poa potezea tu,
Karibuni na unashauriwa kutoa maoni hapa au PM.
Asanteni na karibu kwenye kipindi changu cha LOVE PIN CODE
Nimeona vema kuanzisha uzi huu ili wewe unaempenda mtu flani humu jukwaani ushushe nondo zako hapa kiroho safi kabisa mweleze hadharani kuonyesha jinsi unavyomkubali si unajua tupo karne ya ukweli na uwazi so we njoo jimwage hapa.
LOVE PIN CODE ni sehemu ya wapendanao wanao taka kuanzisha mausiano thabiti kabisa,hapa ni sehemu ya kuunganisha CODE zenu ili kuweza kufungua milango ya mioyo yenu na kuimalisha mausiano yenu.
Kutokana na maoni ya wasomaji kuhitaji kujua wangapi wapo singo na walio double,hivyo kama hutajali katika komenti yako weka status yako mwisho kama upo single,kama unaona haiko poa potezea tu,
Karibuni na unashauriwa kutoa maoni hapa au PM.
Asanteni na karibu kwenye kipindi changu cha LOVE PIN CODE