Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Jamani admission letter walisema wanazituma lakini mimi sijapata.je,isipofika naweza kuripoti chuoni bila kuwa nayo?
 
Jamani admission letter walisema wanazituma lakini mimi sijapata.je,isipofika naweza kuripoti chuoni bila kuwa nayo?

Sikilizia mpaka tare za mwisho kama watakua hawaja tuma jaribu kuangalia kwenye mtanado kma imeshindikana kabisa basi we njoo tu, ila me najua zitatoka 2.
 
kwa udereva pale hapafai wanakuferisha. bira pesa kili siku utarudia mitihani
 
Dah chuo kama secondary UCENDE madarasa hayana a/c na ule mjengo wa vioo haujaisha izo hostel xaxa dah...km bording za ndanda high xcul
 
Jamani naombeni mnitumie account namba ya chuo cha NIT ya benki ya NMB

Hamis, kuwa na akili usije ukapokonywa hela yako, mrisho mpoto amekwambia mda huu ni wa dijitaliii. Account No. Haiombwi kama hivyo. hata na wakulima wanazo so usije ukapokonywa kula yako. Nenda mwenyewe NIT na waombe wakupe Account Number yao.
TAKE ICT you will UNDERSTAND WHO ARE HACKERS
 
Hivi mtu aliyesoma art combs like HGL,HKL au HGK anaweza kusomea degree ya Logistic and transport Managent Pale N.I.T?
 
Wakuu salama ?
Naombeni ushauri wenu juu ya Ubora wa chuo cha NIT kitaaluma hasa katika michepuo ya Biashara kwani nataka kuomba nisome Post Graduate Diploma in Procurement and SUPPLY Chain Management katika chuo hicho.
karibuni wadau mnisaidie kimawazo.

mimi sijasoma chuo hicho lakini ni mojawapo ya vyuo ninavyovithamini sana. It is among the best in TZ na chenye hadhi. Nenda ukasome bila kuwa na tashwishwi yoyote.
 
Wakuu salama ?
Naombeni ushauri wenu juu ya Ubora wa chuo cha NIT kitaaluma hasa katika michepuo ya Biashara kwani nataka kuomba nisome Post Graduate Diploma in Procurement and SUPPLY Chain Management katika chuo hicho.
karibuni wadau mnisaidie kimawazo.

Dah utasomaje PgD kwenye taasisi wewe?
 
Hamis, kuwa na akili usije ukapokonywa hela yako, mrisho mpoto amekwambia mda huu ni wa dijitaliii. Account No. Haiombwi kama hivyo. hata na wakulima wanazo so usije ukapokonywa kula yako. Nenda mwenyewe NIT na waombe wakupe Account Number yao.
TAKE ICT you will UNDERSTAND WHO ARE HACKERS

huyo anajitoa ufahamu ndo mana anapewa majibu ambayo siyo sahihi. Kashndwa kuingia kwenye web ya nit au kwenye join za chuo hzo acc no hazipo
 
Jamani kesho ndo tunaelekea kwa mh.Rais kumalizia kipolo cha mpaka kieleweke,tumektana na uongozi wanaohuska tumeambiwa rais ametoka ameelekea pwani hvyo tukaambiwa kurudi kesho tarehe 10 alhamis saa tatu hasubuh.mnaombwa wote kufka na kuonyesha umoja we2.kama kuna unaemfahamu mfahamishe tafadhali, Nawasilisha
 
Dah chuo kama secondary UCENDE madarasa hayana a/c na ule mjengo wa vioo haujaisha izo hostel xaxa dah...km bording za ndanda high xcul







kwa hio watu wAfate majengo ya vyuo na sio elimu
 
Back
Top Bottom