Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Eti ni kweli hapo kuna kozi ya LOGISTIC AND PROCUREMENT MANAGEMENT? maana kuna mtu kanimbia kachaguliwa hiyo ila kwenye guidbook sikuiona!!
 
Eti ni kweli hapo kuna kozi ya LOGISTIC AND PROCUREMENT MANAGEMENT? maana kuna mtu kanimbia kachaguliwa hiyo ila kwenye guidbook sikuiona!!

inaitwa logistix and transport management
 
inaitwa logistix and transport management

Hii naifahamu vizuri. Sasa sijui huyu jamaa hiyo kozi yake ameitoa wap. Anadai inatolewa hapo N.I.T na wako 70 tu chuo kizima!!
 
Nimedownload joining instruction lakini cjaona admission letter.inakuaje hapo sasa!

Ni kweli admission letter haipoo kwenye mtandao, ila watazituma kupitia masanduku yenu ya posta mliojaza wakati wa application, au unaweza pia fika chuoni mabibo kuja kuchukua..
 
Chuo kinaruhusu mtu kubadili facult pindi akiripot chuoni? Je itamlazimu kufuata taratibu zipi?
 
inaitwa logistix and transport management

Kweli hyo facult ipo hapa na kama ulitumia TCU guide book yazamani yani 2012 basi haipo, ila kama ni guide book mpya ya 2013 basi ipo, Ni fauclt nzuri mwambie ajitahidi sana..
 
Ada ni laki 950000 km ulivyona kwenye TCU guide book mpya, ila kama kuna mabadiliko basi watawatangazia..

Mkuu naomba unipe maelezo kuhusu swali langu hapo juu kuhusu kubadili facult chuoni
 
Chuo kinaruhusu mtu kubadili facult pindi akiripot chuoni? Je itamlazimu kufuata taratibu zipi?

Kuhusu kubadilisha facult sijajua, ila nafikiri utakaporipoti chuoni taratibu zote utazipata, kwani upo NIT? na upo facult gani?
 
NIT coz zake ni priority, it means tunaeza tukapata mkopo?? alafu vp bisiness administration kwa hapo imekaaaje , na ajira kiujumla
Daud omar embu tusaidie kwenye hili swali hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Daud omar embu tusaidie kwenye hili swali hapo juu

Uhakika wa kupata mkopo lazim ukuwepo as long as TCU guide book imeindicate priority katika facult husika, na bila kusahau vigezo na masharti vya uombaji kama utakua umetimiza, otherwise..
 
Last edited by a moderator:
Mbona chuo chenu ni kichafu sana kama magofu? yani kimekaa kama soko vile....
Pia kozi gani hapo inato watu wanaouzika?

mkuu huwa unafuatilia bungeni wizara mbalimbali za serikali pamoja na kamati za bunge na maoni ya kambi ya upinzani
 
Ada ni laki 950000 km ulivyona kwenye TCU guide book mpya, ila kama kuna mabadiliko basi watawatangazia..
nakumbuka wakati tunajaza kupitia tcu kwenye selected program iliandika ada 1200000 ingawa guide book waliweka 950000
 
Back
Top Bottom