Haya haya wale mliokesha Bar rudini makwenuuuuuuuu!!!!!!!! Ila msisahau supu make mning'inio noumer........
..utakua umenisadia sanaUnataka kuja kipaji halisi ?
Sema tukupe binti akulete faster
Kama vile unaniona vile
Popooooo..... Kumbe mpo wengi eeeh???? Vipi umepata supu asubuhi au ndo umeamkia kiporo cha ubwabwa??????
Sito kusahau Jiwe Linaloishi hata kaupaja ka swala. Napenda sana tamaduni za uwindaji, babu yangu amenipa li gobore
Popooooo..... Kumbe mpo wengi eeeh???? Vipi umepata supu asubuhi au ndo umeamkia kiporo cha ubwabwa??????
Hivi ndo kusema hamnioni au???? Kwa vile me mfupi??? hebu kujeni hapa mnipe bia moja au zaidi..... Haya naanza na bepari la kihaya Bishanga, daddy watu8 (daddy nina kiu mbayaaaa) Arushaone (King Mswati hata wewe ni wa kuombwa lol) figganigga ntupie walau kiroba... Erickb52 bosaa leo nigee ofa nimefuliajeeee.. Filipo kamoja tu mtu wangu....
Na wengine wooooote wenye huruma!!!!
Mamito upo.... mzima weye?..... karibu white patty
Hahah daughter sorry muda huo waagiza nilikua safarini kuja Visiwa vya Karafuu...vipi ulipata kiburudisho cha koo???
Sijapata Daddy angu... ngoja jioni ntakustua uje unipe walau Konyagi ndogo!!!!!!! :nimekataa
Sina hata mia ya supu nataka nimpige kibomu arushaone hahaPopooooo..... Kumbe mpo wengi eeeh???? Vipi umepata supu asubuhi au ndo umeamkia kiporo cha ubwabwa??????
charminglady niko lunch time nakula na kandovu pembeni lol kanashuka balaa yan kamenifanya nisitamani kurudi kwa mihangaiko.
Karibu
Shemeji wa mkopo samahan bhan nilikuwa huko REPUBLICA DE MAKONDE LAND, hakuna umeme kwa mwezi sasa, kasimu ka mchina kana zingua, sasa nipo mjini!
Nimeshakribia, dadangu FP sijawasiliana naye kitambo kidogo, ila najua humwezi coz shem wangu orijino anampa tender loving care, ila nimeumia kwa kushindwa kunialika pamoja na my wife Preta.