Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Karibu Chit-Chat Pub And Restaurant

Jana Matokeo ya Barcalena vipi? Na mtoto Messi bado anaendelea tikisa nyavu. Mie, nipo polini bwana
hahaha dawa pale ni kumwondoa yule kibabu.... na kuleta kama wakina gadiola au Morinyo kwanzia jana mi ntakuwa mtu wa kusikilizia matoke tu
 
Jana Matokeo ya Barcalena vipi? Na mtoto Messi bado anaendelea tikisa nyavu. Mie, nipo polini bwana

wamepiga 3 mtungi mesi kama kawa katupia moja kapika mawili

January yote hii mawindo huko porini mazuri kweli?? kila la kheri huko mkuu usisahau nyama noah pori
 
Sito kusahau Jiwe Linaloishi hata kaupaja ka swala. Napenda sana tamaduni za uwindaji, babu yangu amenipa li gobore
wamepiga 3 mtungi mesi kama kawa katupia moja kapika mawili

January yote hii mawindo huko porini mazuri kweli?? kila la kheri huko mkuu usisahau nyama noah pori
 
Last edited by a moderator:
Hivi ndo kusema hamnioni au???? Kwa vile me mfupi??? hebu kujeni hapa mnipe bia moja au zaidi..... Haya naanza na bepari la kihaya Bishanga, daddy watu8 (daddy nina kiu mbayaaaa) Arushaone (King Mswati hata wewe ni wa kuombwa lol) figganigga ntupie walau kiroba... Erickb52 bosaa leo nigee ofa nimefuliajeeee.. Filipo kamoja tu mtu wangu....

Na wengine wooooote wenye huruma!!!!

Duh.... sijapata kuona watu wabahili kiasi hiki lol!!!!!!!!!!!

Ngoja nkatafte zangu kitu cha Rchga.......
 
Last edited by a moderator:
Duh.... sijapata kuona watu wabahili kiasi hiki lol!!!!!!!!!!!

Ngoja nkatafte zangu kitu cha Rchga.......
hahahahaaa nilikuwa ATM najijaza madolari charminglady siunajua mitoko lazma uwe na uwezo wa kufunga bar aisee

Haya sema unataka nini mtoto mzuri!
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa nilikuwa ATM najijaza madolari charminglady siunajua mitoko lazma uwe na uwezo wa kufunga bar aisee

Haya sema unataka nini mtoto mzuri!

Hebu waambie hao wahudumu walete kama hizi hapa..... aalaaa!!!!!

magic_moments_vodka_stack.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hivi charminglady hiyo mikitu haipunguzi zile nguvu zetu maana nisijetoka kapa oooh
Mara nashangaa kitu holaaaa hahahahahaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom