Nimepita tu hapa..... Nawasalimu wote kwa amani ya bwana!
Hivi unadhani Swansea ni timu ndogo?
aahh huko nako preshaa tu maji kupwaa maji kujaaa hamjatulia bado
mi Gunners tu mpaka kieleweke,
Hako ni katimu kadogo sana Erickb52. Afu nimesubiri mnipe hata mkono wa hongera kwa kumpiga LiverpoolFC jana wakuu. MAN UTD HOYEE!!! Copy: Katavi & figganigga.
Si mmmmeshirikiana nanana mtotot wa wa wa shesheshe sheikh yaya yayaya samahani nina kigugugugumizizi
Jiwe Linaloishi nakuonea huruma rafiki yangu! Hamia UNITED kama RVP mkuu! Mlikuwa wazuri mlipokuwa HIGHBURY
Nikilewa nitalala wapi, Kaunta????